Ongea kiswahili lugha ya Afrika

Ongea kiswahili lugha ya Afrika

Share

Kiswahili ni lugha ya Afrika.Kwa hiyo,hatuna budi kukipenda kwani ni lugha yetu.

25/04/2024

Sikiliza Rais wa Tanzania na afrika kusini

10/02/2022

Tarehe 6 mwezi Februari mwaka 2022 nchini Etiopia kulikuwa mkutano wa nchi zote za umoja wa afrika ambako kuliidhinishwa kiswahili k**a lugha ya kazi ya umoja wa Afrika Union Africaine kwa kifaransa ama African union kwa kiingereza.Habari hiyo mliipokeaje wadau wa kiswahili!???

27/12/2021

Karibuni

22/12/2021

Kiswahili imekuwa lugha ya umoja wa Afrika UNESCO imepiga saini kuwa kila tarehe 7 julai kila mwaka itakuwa siku ya kuadhimisha siku ya kiswahili

Ongea kiswahili lugha ya Afrika Send a message to learn more

08/12/2021
22/11/2021

Hamjambo wadau wa ukurasa huu?maswali yenu yanasubiriwa ili yajibiwe

16/11/2020

Habari yenu wadau.Hebu niwaulize,kuna wanaotaka kujiunga na kundi hili kwenye watsapp?

16/05/2019

Wengi wanadhani k**a kiswahili ni lugha ambayo haina manufaa au lugha ambayo haina thamani wakisema kuwa si muhimu kupendekezwa.

31/03/2019

Salama ninyi nyote wazalendo wa Burundi.Leo ningependa nitoe maelezo kwa neno hili lifuatalo:Mzalendo.Mzalendo ni mtu anayependa nchi yake.Asante.

28/09/2018

Wenzangu vipi mbona hamsemi?ukulasa huu ulibuniwa kwa ajili yenu.kwa hio,msikose kutangaza vitu mlivyonavyo mioyoni mwenu.hamnswali lolote lile?

25/09/2018

Mimi Ni murundi wa asili.tujifunze kiswahili tujiunge na Africa ya Mashariki.Acha namba ya wats'up hapa ili nikwunge kwenye kundi la wazungumzaji wa kiswahili

Want your school to be the top-listed School/college in Camps Bay?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


Camps Bay