Heartbeat Missions and Community Work-Tanzania

Heartbeat Missions and Community Work-Tanzania

Share

This page is special for those who deep desires to change their Lives and the lives around them. We can all do it.

Tanzania Youth Force is a page created by Paul Massawe aimed to share about Life, Business, God and the potential that we all have to change our world/community from inside out and not outside in.. Tanzania Youth Force is a page created by Paul Massawe aimed to share about Life, Business, God and the potential that we all have to change our world/community from inside out and no

07/13/2023

Pt Augustine Mpemba coming to Mwanza, Tanzania

10/14/2022

Differentiate between Being Depressed vs Having a missurable life (TAKE ACTIONS ACCORDINGLY)

10/14/2022

Learn from the ones that are doing well comparison is toxic

Photos from Heartbeat Missions and Community Work-Tanzania's post 10/14/2022

Julius Nyerere Day. we celebrate you father of the Nation

04/29/2020

Food for the mind.

04/16/2020

Africa, Tanzania we need to wake up

Photos from Heartbeat Missions and Community Work-Tanzania's post 11/18/2017

Mungu alipo muumba simba alimpa nguvu na uwezo wa ku nguruma Kwa sauti nzito na ya kutisha. Nguvu na kunguruma kwake ndo kuna mfanya ajilinde na kua mfalme wa mwituni.
Pia mungu alivyo muumba chui ali mfanya awe na uwezo wa ku kuambia Kwa wendo wa kasi kuliko wa nyama wote mwituni na kinacho mfanya awe na uwezo wa kupata chakula na kujilinda
Hivyo hivyo Kwa Tai mungu alimpa uwezo wa ku paa juu na kuona mbali, na ndo kinacho mpa uwezo wa kuishi kupata chakula kirahisi na kutamba angani..
Swali je mungu alipo muumba binadamu alimpa nini?
Mungu ali muumba binadamu na kumpa akili.
Kupitia akili hyo tume weza kua na mafanikio sana k**a binadamu kwenye uso wa dunia. Tume weza kugundua mambo mengi k**a Teknologia, kwenda mwezini , kutengeneza vyombo mbali mbali na mengi neyo mengi..
Mungu ali umba miti hakuumba meza, au nyumba.. Tume kua tuki mlilia mungu na kumuomba mambo mengine ambayo ki uhalisia tungeweza kufanya kazi au kutumia akili. Kwa mfano tuna muomba mungu meza wakati ame umba mti.
Niviruzi tuka tambua kua tuna uwezo mkubwa sana wa kubadili mazingira na changamoto zetu za kila siku Kwa kutumia akili mungu alio tupa, tufanye kazi, tuwaze njia tofauti za kutatua changamoto na kua na mtazamo na mawazo chanya juu ya lolote tunalo pitia.

Want your school to be the top-listed School/college in Richmond?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Richmond, VA
23225