05/08/2014
SUZA Global Center for Swahili Studies and Advancement
Global Center for Swahili Studies and Advancement
05/08/2014
Studioni Jumamosi ya leo katika kipindi cha KISWAHILI LUGHA yetu tunae Bi Mwanahija Ali Juma kutoka BAKIZA, Bwana Hassan hija haji Mhadhiri Chuo kikuu cha Taifa Cha Zanzibar Suza, Bwana Zahor Mwadini Muhudini Mhadhiri Chuo cha Kiislamu ZNZ, Mada ni KILA MSWAHILI ANAWAJIBIKA KUKUZA NA KUENDELEZA KISWAHILI. kwa ushauri,machango au maoni tuandikie kupitia barua pepe
[email protected]
Au simu namba 0777882088 au 0777873676
08/05/2014
Usikose kuangalia kipindi cha KISWAHILI LUGHA YETU kinachotayarisha na Chuo kikuu cha Taifa cha Zanzibar SUZA na Baraza la Kiswahili la Zanzibar BAKIZA na kurushwa hewani kila Jumamosi saa kumi na nusu jioni Katika Televisheni ya Shirika la utangaza Zanzibar ZBC. Na kila jumatatu saa kumi kamili katika Redio ya Shirika la utangaza Zanzibar ZBC. mada ya wiki hii ni Kila mswahili anawajibika kukuza na kuendeleza Kiswahili.
28/02/2014
SEMISTA YA PILI 2013/14 INNANZA JUMATATU TAREHE 03.03.2014, TUNAWATAKIA KILA LA KHERI KATIKA MASOMO YENU
Karibu SUZA Global Center kwa huduma za:-
1. Maktaba
2. Tafsiri
3. Ushauri
4. Utafiti
Tupo Vuga jengo la American Corner karibu na Shule ya Sekondari ya Bembella.`
au wasiliana nasi kupitia barua pepe [email protected]
Kuna taarifa kuwa vijana wetu walioshiriki katika michezo ya TUSA (Tanzania Universities Sports Association) huko UDOM - Dodoma wamepata ajali mbaya wakiwa njiani kurudi nyumbani. Wengi wameumia na wawili wameumia vibaya akiwemo mmoja ambaye amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi. Vijana kutoka vyuo vya Zanzibar walikuwa ndani ya basi hilo maalum wakiwa pamoja na viongozi wao.
Tunamuomba Subhannahu wa Taala awape nafuu na wapone haraka, Aamin.
SUZA kupitia kituo chake cha kimataifa cha taaluma za kiswahili na uenezi kuandaa kongamano la mwanzo la kiswahili.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Zanzibar Vuga
Zanzibar
255