09/01/2020
Alhamdulillah,Mwaka mpya,Mambo mapya, Eng. Aisha Rashid Suleiman, Aliyekuwa Mwanafunzi wa Uhandisi, Zanzibar University ametangazwa Mshindi wa mwanzo katika mashindano ya Ubunifu wa Tehama ambayo yaliandaliwa na Wizara ya Biashara na Viwanda ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)
Katika Tamasha la 6 la ujasiri amali kwa mwaka 2020 lililofanyika tarehe 9/1/2020
Tunakutakia ushindi mwema na mafanikio zaidi.
15/12/2019
It's always a thrilling experience to see fresh blood work hard and achieve their goals. It's never an easy road, needs hard work ,focus and achievements bind together, we build you to be beacons that the world needs today as much as ever, be committed, compassionate and always ready to face the world. Congratulations to you all👍
20/09/2019
Asalam alaykum.
To all Engineering students, please login to your ZUSIS account for your examination results.
Thank You.
29/07/2019
The office of the Deputy Vice Chancellor for Academic Affairs of the Zanzibar University invites applications from qualified applicants for various programmes leading to the following Diploma, Degree and Master Awards: -
In our faculty we offer:
1. Bachelor of Science in Computer Engineering &Information Technology
2. Bachelor of Science in Telecommunications Engineering
NOTE: The minimum entry requirements for undergraduate Degree are 3.0 CGPA for Equivalent and total of 4 points from two subjects for Direct Applicants(Where A=5, B=4, C=3, D=2 & E = 1) and ( A=5, B+ =4, B=3, C=2 and D=1 for those who completed A „level Studies in 2014 and 2015).
More details can be found at our website: www.zanvarsity.ac.tz.
Applications must also be done online through the website www.zanvarsity.ac.tz.
28/07/2019
Tumewasilisha mradi wetu wa mwisho km wanafunzi wa Mwaka wa 4 katika kitivo cha uhandisi mbele ya mgeni rasmi kansela na naibu wake Alhamdulillah.....mradi uliwasilishwa kiukamilifu.
FINAL YEAR PROJECT IS AN IMPORTANT ELEMENT IN THE INTEGRATION OF KNOWLEDGE. IDEAS AND DISSERTATIONS. . .
17/06/2019
Kumbukumbu za sherehe yetu familia ya FOE, daima milele. Upendo, umoja, ubunifu, uhodari na vyenginevyo tele vya kujenga undugu. Mara hii 2019 kumenoga
02/05/2019
Cyberstars Competition Brief
Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania inaendelea na Mashindano yao ya ulinzi wa utumiaji wa mtandao.
Lengo la mashindano haya ni kupata washindi 3 katika Tanzania
>Hacking/attacker/ mshambuliaji wa mtandao
>Investigation/mehunguzuji
>Cyber defense/Defender/Mlizi wa mtandao
Kila mtuu analusiwa kujisajiri kwenye www.cyberstars.pro
25/03/2019
Warmest greetings to you all.
I believe that most of us are preparing in anticipation of returning back to campus as school officially resumes on the 25th of March (Today).
It being the Second semester of the 2018 /2019 academic year as we already know..
I hope everyone had a good break over the holidays and returns rested, refreshed and ready to engage....
Wishing you all a blissful semester
Allah bless us all.
19/03/2019
Hello ANNOUNCEMENT..
Please be notified that "PROVISIONAL RESULTS" are out.
Not the final but Provisional Results...
Thank You.
23/02/2019
2019 Ideas for Action Competition.
Wanafunzi na *maprofresnali* wapya (wadogo) kati ya miaka 18-35 kokote pale duniani walipo munaalikwa kushiriki katika pambano hili la kitaifa, wahi sasa usajili kwa kupitia link hii ujipatie nafasi mapema.
Students and young professionals between the ages of 18-35 years from around the world are invited to participate in this international competition, if you are interested follow the link and sign up for a better chance.
2019 Ideas for Action Competition
There is just ONE WEEK LEFT to make 2019 the year your idea changed the world! There is just one week left to submit your sustainable development idea to Wharton and the World Bank. Students and young professionals between the ages of 18-35 years from around the world are invited to participate. D