21/03/2026
EID MUBARAK KWA WAISLAMU WOTE DUNIANI MWAKA WA 1447 AH sawa na 2026 Miladiyya.
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ahmad bin Hajji, Educational consultant, Zanzibar.
21/03/2026
EID MUBARAK KWA WAISLAMU WOTE DUNIANI MWAKA WA 1447 AH sawa na 2026 Miladiyya.
23/02/2026
Ramadhan Kareem Kutoka baraza la vijana Shehia ya Mombasa tarehe 04/09/1447 AH katika iftar ya vijana, wazee pamoja na mayatima.
08/02/2026
Wasaidizi wa sherika kutoka CEPAU wakitoa elimu ya udhalilishaji na haki za watoto Madrasat TAWBA shehia ya Jumbi Jumamosi 07/02/2026.
22/12/2025
Ni jambo jema waziri wetu wa vijana, ajira na uwezeshaji Kukutana na wenyeviti na makatibu wa baraza la vijana Zanzibar, kuweza kusikiliza changamoto zetu zinazotukabili baraza la vijana Zanzibar.
30/11/2025
Alhamdulillah kwa Kufanikisha kushiriki katika Kilomita Kumi mbio za Stop GBV half Marathon Zanzibar. Kupinga vitendo vya Ukatili dhidi ya wanawake na watoto ❌
23/11/2025
Alhamdulillah, Kila hatua ni spesho Kilomita 10 za juhudi .
13/10/2025
Tumepata taaluma nzuri hapa kuhusiana na Dalili za saratani ya Matiti, tuongeze juhudi kupambana na ugonjwa huu.
07/09/2025
KILA HATUA DUA.
23/07/2025
Udhalilishaji ni Adui Wa Maendeleo Ya Nchi yetu, wana mazoezi tunajiweka Imara kujiepusha sisi wenyewe na kushiriki juhudi za kukomesha vitendo vya udhalilishaji katika jamii yetu, hii ilikuwa katika Bonanza la Unique Fitness Club 20/07/2025.
06/07/2025
Bonanza la Michezo wizara ya fedha Zanzibar, lilojumuisha taasisi chini ya Wizara ya Fedha Zanzibar na pia tulipata ugeni wa wenzetu Tanzania bara TAKUKURU lililofanyika Jumamosi 05/07/2025. Michezo ni mizuri ina imarisha Afya zetu na kuweka sawa mwili kukabiliana na mwaka mpya wa fedha 2025-2026.
10/03/2025
Alhamdulillah tumeweza kufanikisha futari yetu ya Vijana Baraza la Vijana shehia ya Mombasa iliyohudhuriwa na Ndugu Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki pamoja Na Katibu Mtendaji baraza la vijana ZANZIBAR ndugu Ali Haji. 2025 imekamilika Allah atulipe ujira kamili wa jambo hili jema lizidi kuendelea.
27/02/2025
Tunaishi kwasababu kuna watu wanathamini uwepo wetu katika maisha yao.