03/05/2026
Hakika Allah yuko pamoja na wenye kusubiri.
Mafundisho ya maisha ya muislamu anayoridhia Allah (SW)
03/05/2026
Hakika Allah yuko pamoja na wenye kusubiri.
13/04/2026
Umejifunza lipi jipya?
20/03/2026
Asalamu alaykum , Eid njema kwa sote 🤲🤲🤲.
15/02/2026
Allah tupe mwisho mwema 🤲🤲🤲
14/02/2026
Nguzo tano za Uislamu⤵️
1: Shahada:
kushuhudia kwa Allah ni mmoja tu na Muhammad(S.A.w) ni kiumbe wake na Mtume wake.
2: Sala:
Kusali sala tano za faradhi.
3: Funga ya mwezi wa Ramadhan:
4:Kutekeleza ibada ya Hijja:
kwa wale wenye uwezo wa kufanya hivyo.
5: Zakka:
kutoka Zakka katika mali yako ikiwa imefikia kiwango cha kutolewa zakka.
06/02/2026
Asalamu alaykum, Ijumaa Njema na Tusisahau kuisoma surah Al-Kahf inshaa Allah 🤲🤲🤲
04/02/2026
K**a unawatendea wema wazazi wako sema Alhamdulillah 🤲🤲🤲
30/01/2026
Ijumaa njema na tusisahau kuisoma Surah Al-Kahf inshaallah .
29/01/2026
Kusema na watu kwa wema nayo ni ibada , Allah tujaalie tuwe miongoni mwao🤲🤲🤲