Ujaze Moyo Imani ya Dini ya Kiislamu

Ujaze Moyo Imani ya Dini ya Kiislamu

Share

Mafundisho ya maisha ya muislamu anayoridhia Allah (SW)

03/05/2026

Hakika Allah yuko pamoja na wenye kusubiri.

13/04/2026
02/04/2026

Umejifunza lipi jipya?

20/03/2026

Asalamu alaykum , Eid njema kwa sote 🤲🤲🤲.

15/02/2026

Allah tupe mwisho mwema 🤲🤲🤲

14/02/2026

Nguzo tano za Uislamu⤵️

1: Shahada:
kushuhudia kwa Allah ni mmoja tu na Muhammad(S.A.w) ni kiumbe wake na Mtume wake.

2: Sala:
Kusali sala tano za faradhi.

3: Funga ya mwezi wa Ramadhan:

4:Kutekeleza ibada ya Hijja:
kwa wale wenye uwezo wa kufanya hivyo.

5: Zakka:
kutoka Zakka katika mali yako ikiwa imefikia kiwango cha kutolewa zakka.

06/02/2026

Asalamu alaykum, Ijumaa Njema na Tusisahau kuisoma surah Al-Kahf inshaa Allah 🤲🤲🤲

04/02/2026

K**a unawatendea wema wazazi wako sema Alhamdulillah 🤲🤲🤲

30/01/2026

Ijumaa njema na tusisahau kuisoma Surah Al-Kahf inshaallah .

29/01/2026

Kusema na watu kwa wema nayo ni ibada , Allah tujaalie tuwe miongoni mwao🤲🤲🤲

Want your school to be the top-listed School/college in Zanzibar?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Zanzibar