21/08/2026
MAADHIMISHO YA WIKI YA KITAIFA YA ELIMU, UJUZI, NA UBUNIFU 2026 , TANGA. (SIKU YA 6).
Wanafunzi wa skuli mbali mbali za Mkoani Tanga, wametembelea banda la Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), na kupata maelezo kuhusu huduma zinazotolewa na Taasisi.