No one is tabrarahasor but every one have any things on his or her mind

No one is tabrarahasor but every one have any things on his or her mind

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from No one is tabrarahasor but every one have any things on his or her mind, College & University, Dr salmi, Zanzibar.

25/12/2022

USIKU MWEMA WAPENWA

25/12/2022

"Katika maisha yangu ndoto yangu kubwa ilikuwa siku Moja nije kuishi na bibi yangu Katika nyumba yangu,wakati nipo Mdogo nilideka sanaaa kwake, nikikosea wajomba au Kina Mama wakitaka kuniadhibu bibi alikuwa hataki Kabisaaa.

Namshukuru Mungu leo Hii ndoto yangu imetimia,ingawaje umri umeenda lakini bibi yangu ana furaha,Mimi napenda kumuita bi Mzungu,rafiki yangu sanaa Huyu "Kitale, Mwigizaji wa filamu Tanzania.

Credit by

Tafadhari tembelea YouTube channel Yetu Ya Presenter Dax kwa taarifa nyingi zaidi.

30/05/2022

Amani ya bwana iwe nasii

04/08/2021

Nakaza mwendo nifikie malengo

Want your school to be the top-listed School/college in Zanzibar?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


Dr Salmi
Zanzibar