17/02/2026
Viongozi na wadau walikutana kwa lengo moja, kujenga mustakabali bora kupitia umoja, utamaduni na lugha yetu. Umoja wa watu ndio msingi wa maendeleo ya kweli
Tunaendelea kujenga EAC iliyo imara zaidi kupitia ushirikiano wa wananchi wake.
16/08/2025
Wiki iliyopita, Katibu Mtendaji wa baada ya Kikao cha kupitia Itifaki ya Kuanzishwa kwa alitembelea Walizungumzia mikakati ya kuimarisha ushirikiano baina ya Taasisi hizi za JAM katika utekelezaji wa majukumu yao hasa wakati huu ambapo lugha ya Kiswahili imetambuliwa k**a lugha rasmi na lugha ya mawasiliano mapana.
07/07/2025
🌎 Maadhimisho ya Nne ya Siku ya Lugha ya Kiswahili Duniani yanaendelea nchini Rwanda katika Hoteli ya Serena, jijini Kigali. Sherehe hizi zilianza jana kwa kongamano la vijana na warsha la kitaaluma. Leo zilianza kwa maandamano ya matembezi ya amani kutoka City Hall hadi Hoteli ya Serena, yakihudhuriwa na washiriki kutoka pembe mbalimbali za dunia.
➡️ Kauli mbiu ya mwaka huu ni:
“Kiswahili, Elimu Jumuishi na Maendeleo Endelevu”
📍Kauli mbiu hii inasisitiza nafasi ya Kiswahili katika kuendeleza elimu jumuishi inayowajumuisha watu wote bila ubaguzi na kuchangia katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu barani Afrika na duniani.
06/07/2025
Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki inaamini kuwa Kiswahili, kikitumika ipasavyo, kinaweza kuvuka mipaka ya kielimu, kusaidia makundi yaliyo hatarini,na kuinua sauti za walionyimwa fursa- Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
15/06/2025
Kando ya Mkutano wa 20 wa Baraza la Kisekta, Dkt. Caroline Asiimwe ES na Jamhuri ya Kenya wamekabidhi Jamhuri ya Rwanda bendera ya k**a wenyeji wa maadhimisho ya nne siku ya Kiswahili Duniani. Ishara hii imefungua rasmi shughuli za MASIKIDU kwa upande wa JAM.
08/03/2025
Heri ya Siku ya Wanawake Duniani 2025!
Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKAMA) inasherekea wanawake
wote duniani hasa wale ambao wako mstari wa mbele katika kuendeleza matumizi ya lugha ya Kiswahili kwa maendeleo na ustawi wa jamii
Kadaga
ita