11/08/2021
Road To University Zanzibar 2021
Semina maalum kwa ajili ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na diploma.
31/07/2021 - Haile Selasie Hall
.official
We provide applicable formal and informal education supports in order to create a community with skil
11/08/2021
Road To University Zanzibar 2021
Semina maalum kwa ajili ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na diploma.
31/07/2021 - Haile Selasie Hall
.official
01/08/2021
Tunatoa shukrani za dhati kwa wale wote waliounga mkono Road To University 2021 kwa namna moja ama nyengine, ni matarajio yetu elimu na ujuzi uliopatikana kwa vijana wanaoenda kujiunga na vyuo muda mfupi ujao yataleta athari chanya kwao na taifa kiujumla.
Mwenyezi Mungu atulipe kheri na atupe moyo zaidi wa kusaidia wengine.
Road To University 2021,
A Pathway for a lifetime achievements.
31/07/2021
31/07/2021
Road To University Zanzibar 2021
31/07/2021
NI LEO 🌟
ROAD TO UNIVERSITY - ZANZIBAR
Taasisi ya Elimu Panel na Pamoja Youth Initiative wameandaa Semina maalum kwa ajili ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na diploma.
31/07/2021
30/07/2021
Road To University - 2021
Unaweza mjulisha au kumkumbusha rafiki yako aliyemaliza form four, form six na diploma kuhudhuria mafunzo haya ya siku moja.
Mambo ya kuzingatia:
1. Kuchunga muda - tujitahidi kuwahi mapema sana ili tujifunze mengi zaidi ndani ya wakati.
2. Tuvae mavazi yaliyo katika stara nzuri.
3. Beba daftari/notebook na kalamu kwa ajili ya kujifunza.
4. K**a una maswali yanakusumbua sana yaandae uje kusaidiwa.
5. Kutokana na mlipuko wa maradhi ya Corona hakikisha umevaa barakoa/mask muda wote, epuka migusano k**a kushikana mikono, hakikisha una nawa mikono kwa sabuni na maji tiririka.
R2U Orginizers wataandaa mazingira rafiki kwa ajili ya kujilinda na ugonjwa huu. (Mwenyezi Mungu atulinde na atufanyie wepesi)
Tunawatakia maandalizi mema yenye baraka tele ndani.
Road To University,
Elimu Panel,
PYI 2021.
29/07/2021
ROAD TO UNIVERSITY - ZANZIBAR
Taasisi ya Elimu Panel na Pamoja Youth Initiative wameandaa Semina maalum kwa ajili ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na diploma.
✔️ NI BURE
✔️ VINYWAJI NA VITAFUNWA BURE
✔️ NAFASI NI CHACHE
Tuma maombi SASA:
https://bit.ly/3rk4KCN
📅 TAREHE:
Jumamosi, 31 Julai 2021 ( 02 Asubuhi - 07 Mchana)
📌 MAHALA:
Ukumbi wa Shule ya Haile Salassie - Zanzibar
Kwa mawasiliano zaidi:
+255 773 902 190
+255 776 898 030
*USIPANGE KUKOSA*
28/07/2021
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Mhe. Dr. Saada S. Mkuya ataungana na wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na diploma katika semina ya siku moja yenye lengo la kuwaandaa wanafunzi hao kitaaluma na kimaadili.
Road to University mwaka huu inaenda kuwasaidia wanafunzi namna ya kuchagua kozi stahiki, namna ya kutuma maombi katika mamlaka husika na kujadili kwa pamoja maisha ya chuo na fursa zipatikanazo.
✔️ NI BURE
✔️ VINYWAJI NA VITAFUNWA BURE
✔️ NAFASI NI CHACHE
Tuma maombi SASA:
https://bit.ly/3rk4KCN
📅 TAREHE:
Jumamosi, 31 Julai 2021 ( 02 Asubuhi - 07 Mchana)
📌 MAHALA:
Ukumbi wa Shule ya Haile Salassie - Zanzibar
Kwa mawasiliano zaidi:
+255 773 902 190
+255 776 898 030
USIPANGE KUKOSA