Ntonzo Secondary School

Ntonzo Secondary School SHULE INATOA ELIMU BORA, INASIMAMIA NIDHAMU NA MAADILI. TUNALEA KIZAZI CHA KESHO KWA KUTUMIA WALIMU MAHIRI, MAZINGIRA RAFIKI NA MALEZI BORA.

SHULE INAPATIKANA MBEYA, PEMBEZONI MWA BARABARA KUU IENDAYO TUKUYU/KYELA KM 6 KUTOKA UYOLE.

Happy new year Family..Tunaendelea na usariji kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne kwa mwaka 2026.Shule itafu...
03/01/2026

Happy new year Family..
Tunaendelea na usariji kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne kwa mwaka 2026.
Shule itafunguliwa tarehe 04/01/2026.
Karibuni sana

Happy new year Family..Tunaendelea na usariji kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne kwa mwaka 2026.Shule itafu...
03/01/2026

Happy new year Family..
Tunaendelea na usariji kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne kwa mwaka 2026.
Shule itafunguliwa tarehe 04/01/2026.
Karibuni sana

Karibuni Ntonzo ss , nafasi bado zipo kwa kidato cha kwanza 2026 na za  kuhamia kwa kidato cha pili,  cha tatu, cha nne ...
17/12/2025

Karibuni Ntonzo ss , nafasi bado zipo kwa kidato cha kwanza 2026 na za kuhamia kwa kidato cha pili, cha tatu, cha nne na cha tano 2026 karibuni sana

On first slide is our best student of the year🎉
01/10/2025

On first slide is our best student of the year🎉

The Team🔥🔥
30/09/2025

The Team🔥🔥

Good memories 🎊
30/09/2025

Good memories 🎊

Farewell Cake to our champs🎉
30/09/2025

Farewell Cake to our champs🎉

Mahafari ya saba ya kidato cha nne 27/9/2025
30/09/2025

Mahafari ya saba ya kidato cha nne 27/9/2025

Graduates of 2025🔥🔥🔥
30/09/2025

Graduates of 2025🔥🔥🔥

❗️❗️❗️ATTENTION ❗️❗️ATTENTION ❗️❗️❗️Naomba mniitie Wazazi wote wenye watoto wanao hitimu darasa la saba 🙌Naamini wotee m...
11/09/2025

❗️❗️❗️ATTENTION ❗️❗️ATTENTION ❗️❗️❗️

Naomba mniitie Wazazi wote wenye watoto wanao hitimu darasa la saba 🙌

Naamini wotee mnahabari juu mtaala wa elimu ambao watoto wetu wanaenda kusoma huku sekondari..

mwanafunzi anaanza kuchagua asomee nini katika taaluma yake anapo ingia kidato cha kwanza. Kwa bahati mbaya/nzuri wazazi na wanafunzi wetu wanakua hawaja jua vizuri ni masomo yapi yanawafaa na masomo gani wanayaweza! Kumbuka ni ujuzi mpya kabisa kwa wanafunzi wetu.!!

Sasa basi; NTONZO SECONDARY SCHOOL imeandaa mfumo mzuri sana wa namna ya kumsaidia mzazi na mwanafunzi kufanya maamuzi sahihi pale anapo anza kidato cha kwanza.

Ndugu mzazi, Usiikose fursa hii ya muhimu saana katika maisha ya kijana wako

Karibu ujiunge nasi kwa kozi fupi ya PRE FORM ONE inayo tarajia kuanza tarehe 15/9/2025 hadi tarehe 19/12/2025 kwa gharama ya tshs 200,000/= tuu..

Wasiliana nasi kwa namba:

0758 657 459
0623 243 643
0710 834 649

Familia ya Ntonzo sekondari inawatakia heri na mafanikio mema wanafunzi wote wa darasa la saba mnao enda kufanya mtihani...
09/09/2025

Familia ya Ntonzo sekondari inawatakia heri na mafanikio mema wanafunzi wote wa darasa la saba mnao enda kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2025. Tunawaombea mfanikiwe vizuri kwa juhudi zenu, nidhamu na maombi.

Aidha, Shule ya Sekondari Ntonzo inawakaribisha kwenye kozi maalum ya Pre Form One,inayo anza tarehe 15/9/2025 hadi 19/12/2025 itakayowasaidia kujiandaa vyema kwa maisha ya sekondari. Karibuni mjifunze katika mazingira bora, walimu mahiri, na malezi yenye maadili.

Ntonzo Sekondari ni Mahali sahihi pa Kukuza Ndoto Zako!

Karibuni sana!

Ndugu Wazazi wa wanafunzi wanao tarajia kuhitimu darasa la saba 2025!Kwanza kabisa, hongereni sana kwa hatua kubwa ya ku...
09/09/2025

Ndugu Wazazi wa wanafunzi wanao tarajia kuhitimu darasa la saba 2025!

Kwanza kabisa, hongereni sana kwa hatua kubwa ya kuhitimu elimu ya msingi! Hii ni hatua ya kujivunia sana, lakini pia ni mwanzo wa safari nyingine muhimu sana – safari ya elimu ya sekondari.

Tunapenda kuwa karibisha sana NTONZO sekondari kwaajili ya kozi fupi ya Pre-Form One, itakayo anza tarehe 15/9/2025 na kumalizika tarehe 19/12/2025 kwa gharama ysa 200,000/= tuu

Kwa nini uchague kujiunga na Pre-Form One Ntonzo sekondari?

âś…Mazingira Bora ya Kujifunza
Shule ya Ntonzo ina vyumba vya madarasa vilivyo na utulivu na vifaa vinavyohitajika. Kuna walimu waliobobea ambao wamejitoa kukuandaa vyema kabla hujaanza Kidato cha Kwanza.

âś…Maandalizi Madhubuti
Kupitia Pre-Form One, utajifunza masomo ya sekondari mapema, jambo litakalokusaidia kuanza Kidato cha Kwanza ukiwa tayari kabisa – kwa uelewa, ujasiri na kasi ya kusoma.

âś…Walimu Wenye Uwezo na Moyo
Tunao walimu wanaojali mafanikio ya kila mwanafunzi mmoja mmoja. Wanajitahidi kuhakikisha kila mwanafunzi anaelewa, hata kwa kutumia muda wa ziada.

âś…Shule ya Kufaulisha
Ntonzo inatambulika kwa matokeo bora ya mitihani ya taifa na maadili mazuri ya wanafunzi tangu kuanzishwa kwake. Tunakuandaa kitaaluma na kinidhamu kwa maisha ya baadaye.

âś…Malezi Bora na Maadili
Mbali na masomo, tunawalea wanafunzi wetu kwa maadili mema ya kidini, nidhamu ya hali ya juu, na kuwajenga kuwa raia wema wa baadae.

ndugu Mzazi na mwanafunzi,
Usikose fursa hii muhimu ya kujitayarisha mapema kwa elimu ya sekondari katika mazingira salama, yenye walimu bora, na rafiki kwa mwanafunzi.

Jiunge na sini kwa masomo ya Pre-Form One sasa.

Kwa maelezo zaidi, fika shuleni au wasiliana nasi kupitia namba zifuatazo:
0758657459
0623243643
0710834649

📍 Shule inapatikana mbeya, pembezoni mwa barabara kuu iendeyo Tukuyu km6 kutoka njiapanda uyole.

Karibu sana – Ntonzo sekondari hapa ni chaguo sahihi!

Address

P. O. BOX 2219 , UYOLE, MBEYA
Uyole

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ntonzo Secondary School posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Ntonzo Secondary School:

Shortcuts

Share

Category