lolo_facts

lolo_facts Nawasaidia vijana kuongeza thamani ya maisha yao kupitia mafundisho ya maendeleo binafsi

18/08/2026

Nataka remix na Jaivah😊😊 unataka keki na mapambo basi Njoo kwenye kamapuni yetu Furaha Sanga | Event Planner | Cake Baker| tukuhudumie

#

Niliandika kitabu cha WEWE NI KUSUDI ambacho ni kitabu bora kuwahi kuandika nilipokitoa, sikuuza nakala hata moja.Niliwe...
16/08/2026

Niliandika kitabu cha WEWE NI KUSUDI ambacho ni kitabu bora kuwahi kuandika nilipokitoa, sikuuza nakala hata moja.

Niliweka nadhiri kukitoa bure kwa mtu yeyote ni kitabu bora namaanisha maana kimenichukua miaka mitatu kukamilika kwake.

Ilinivunja sana moyo nikapoteza hata hamu na shauku ya kufanya Lolo Facts sikuwa napost kila siku K**a zamani.

Baada ya muda nikagundua…

Unaweza kuleta bidhaa nzuri sokoni Ila mapokeo yakawa tofauti na matarajio yako, inaumiza umetumia muda, fedha, mtaji wa watu n.k ni mchakato mgumu kwelikweli.

Ni Lazima ukubali kuwa ni sehemu ya mchakato wala huitaji kujikosoa na kuona labda unachofanya sio sahihi.

Wewe hautakuwa wa kwanza wala mwisho.

Kitabu cha WEWE NI KUSUDI kilibadili kila kitu Nyuma ya pazia maisha ya Lolo facts.

Imenijenga kuwa imara kihisia na kuwa shabiki namba moja wa harakati zangu.

Imenifunza ni sawa kupata sababu maelfu ya kukataa tamaa, ni muhimu kukaza mpaka mwisho.

Ukianguka sio Mwisho wa safari, simama kisha kung’uta mavumbi na mapambo ya kuendelea.

Jifunze kujipambania bila kuweka matarajio kwa watu wengine.

Ipo siku utakuwa Kielelezo kuwa wewe ni mfano wa kuigwa ambaye hakukata tamaa.

Mungu azidi kutubariki sote.

Haipendezi wala kuvutia kuwa mtu wa drama hebu kuwa bize na mambo yako  na maisha yako achana na mambo ya watu haitakusa...
14/08/2026

Haipendezi wala kuvutia kuwa mtu wa drama hebu kuwa bize na mambo yako na maisha yako achana na mambo ya watu haitakusaidia kabisa.

Chukua hatua sasa.

I love her crazy wakuu❤️❤️
26/07/2026

I love her crazy wakuu❤️❤️

24/07/2026

Je wewe ni mnyenyekevu au tu kuacha na maisha yako?

24/07/2026

Upweke ni mbaya sana aisee! Ushinde upweke wako na unaweza

16/07/2026

Tunaishi Mara moja mwanangu, ukipata nafasi itumie

Sio kila roho mbaya unayofanyiwa ni mbaya, zingine ni nzuri zinakuwa na mwisho mzuri.Sio kila roho nzuri unayofanyiwa ni...
16/07/2026

Sio kila roho mbaya unayofanyiwa ni mbaya, zingine ni nzuri zinakuwa na mwisho mzuri.

Sio kila roho nzuri unayofanyiwa ni nzuri, zingine ni mbaya na mwisho wake ni mbaya.

Dunia Ina uhaba wa watu wema na wenye upendo wa dhati, K**a una moyo huyo usibadilike kwa kuwa binadamu wamekutendea vibaya.

Mungu anaona atakubariki kwa namna yake, binadamu wasaulifu sana unaweza kuwafanyia mambo mengi mazuri Ila baya moja anasahau yote.

Mungu atakulipa kwa namna anayojua yeye. Roho mbaya za nini wakati tunaishi Mara moja?

15/07/2026

Fanya mazoezi acha visingizo

Address

Uyole

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when lolo_facts posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to lolo_facts:

Shortcuts

Share