Meshuko School of Thought-MSoT

Meshuko School of Thought-MSoT All about learning about our own daily life as we be led by life experiences

TUJIFUNZE KITU HAPA.Nimebahatika kupita baadhi ya miji na maeneo japo machache ya Tanzania yakiwapo Arusha, Nachingwea-L...
16/04/2022

TUJIFUNZE KITU HAPA.

Nimebahatika kupita baadhi ya miji na maeneo japo machache ya Tanzania yakiwapo Arusha, Nachingwea-Lindi, Dodoma, Morogoro n.k

Aidha nimekaa kwa mda mrefu Kidogo katika jiji la Dar es salaam nilikosoma chuo tofauti na hayo maeneo mengine ambayo baadhi yao nilikuwa napita tu.

Kubwa ninalotaka ku-share nawe hapa ni swala zima la utafutaji. Kuna utofauti mkubwa sana kati ya kutafuta riziki na kutafuta maisha(mafanikio).

Katika nyakati tofauti tofauti nimekuwa nikishuhudia watu ambao kimsingi umri umeenda(wamama na wazee) wakisambaza bidhaa rejareja kuviuza (k**a vile mashuka, viatu, vyombo vya ndani n.k).
Wamekuwa wakifanya katikati ya jua kali la jiji la Dar es salaam ili walau kila jioni wawe na uhakika wa kula.
Siwalaumu, ninawapongeza, kwani kupitia kwao nimejifunza kitu kikubwa sana ambayo nimeona niwashirikishe nanyi vijana wenzangu. NI KWA HABARI YA KUPAMBANA ANGALI ASUBUHI KABLA HALIJAKARIBIA KUZAMA JUA. Tukubali kuvuja jasho vijana wenzangu kwa umri huu ili baadae tupate mda wa kupumzika na kujivunia mapambano yetu ya ujanani.
Siku zote tujifunze kutumia muda na fursa kwa faida.
Nirejelea kidogo kwenye Biblia, WAEFESO 5:15-16
"Lakini angalieni mnavyoenenda, siyo k**a wasiyo na hekima, bali k**a wenye hekima... Huku mkiukomboa wakati mana zama hizi ni za uwovu"

Kijana ni mimi na wewe, TUPAMBANE.

27/03/2022

Dear ladies and gentlemen, I humbly welcome you to this page. The only thing I know is that, "life has nothing to do without learning"
We learn everywhere and each time. This is called lifelong learning.
Having knowing this, I have therefore decided to create a room to provide a wide range for we all to learn about life.
The matters that will be discussed in this class are particularly social matters, financial matters, healthy issues etc.
Everyone is free to participate under the following conditions:
1. No abusive language and nor shall there be personal direct attack
2. Two languages are official in this page, (i) Swahili and
(ii) English.
You are all welcome

Address

Ilala
Temeke

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Meshuko School of Thought-MSoT posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category