17/03/2021
Pole Tanzania Yetu. Pole Kwa Watanzania na wote tulioguswa na msiba huu mkubwa ðŸ˜
Pumzima Kwa amani Raisi wetu mungu akufanyie wepesi huko uendako. Mungu ibariki Tanzania.
Bright Schools Elimu bora kwa mwanao.
17/03/2021
Pole Tanzania Yetu. Pole Kwa Watanzania na wote tulioguswa na msiba huu mkubwa ðŸ˜
Pumzima Kwa amani Raisi wetu mungu akufanyie wepesi huko uendako. Mungu ibariki Tanzania.
11/10/2020
Hongera Vijana Wetu Kwa Kuhitimu Elimu Ya Msingi...
11/10/2020
21/09/2018
Bright English Medium Schools Tanga inatoa pole kwa wafiwa na watanzania kwa ujumla kutokana na Ajali mbaya ya kuzama kwa kivuko cha Mv Nyerere.
Tunamuomba Mungu atusimamie katika kipindi hiki kigumu
15/06/2018
Bright English Medium Schools - Inawatakia Wazazi Na Wanafunzi Wote Nchini Eid Mubarak
EID MUBARAK
08/05/2017
Uongozi wa Shule ya Bright English Medium School iliyopo Mwahako Tanga, Tanzania Unatoa Pole kwa Wazazi, Walimu, Wanafunzi, Ndugu na jamaa wote wa Wanafunzi , Walimu na Dereva Wa Shule ya Lucky Vincent waliofariki katika Ajali mbaya ya gari iliyotokea 6/5/2017 Siku ya Juma mosi kaskazini mwa Tanzania , ambapo basi aina ya Costa mali ya shule ya Lucky Vincent iliyoko eneo la kwa Mrombo. ,lilitumbukia katika mto Marera ulioko katika mlima Rhotia, , Karatu mkoani Arusha. Nakupeleka vifo vya Wanafunzi 32, Walimu 2 na Dereva 1.
MUNGU azilaze Roho za marehemu mahala pema... Amin.
| Monday | 07:00 - 17:00 |
| Tuesday | 07:00 - 17:00 |
| Wednesday | 07:00 - 17:00 |
| Thursday | 07:00 - 17:00 |
| Friday | 07:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 16:00 |
| Sunday | 09:00 - 15:00 |