Durusu Kiswahili

Durusu Kiswahili

Share

Kiswahili kinabadilika kila kuchao. Maneno mapya yanaongezeka na mengine ya awali yanaachwa au yanabadili maana.

Durusu Kiswahili ipo kupambanua mabadiliko haya kwa kuangazia maneno mapya, maana mpya na jinsi yanavyotumiwa katika lugha hii adhimu ya Kiswa

20/08/2024

Hii inakuhusu, Bodi ya Huduma za Maktaba inakualika katika maonesho ya vitabu. Tukutane panapo majaliwa.

Kiswahili Havana, Kuba 2024 27/06/2024

Balozi wa Tanzania nchini Kuba, Humphrey Polepole aeleza jinsi Tanzania inavyokuza Kiswahili katika eneo la Karibe na fursa zilizopo kuelekea Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Havana

Kiswahili Havana, Kuba 2024 Balozi wa Tanzania nchini Kuba, Humphrey Polepole aeleza jinsi Tanzania inavyokuza Kiswahili katika eneo la Karibe na fursa zilizopo kuelekea Kongamano la Ki...

Kiswahili Burundi: Mtazamo wa wanafunzi 24/06/2024

Muda wa kufundisha na mtazamo wa baadhi ya wanafunzi, ni miongoni mwa mambo yanayotanza kasi ya ukuaji wa Kiswahili nchini Burundi.

Kiswahili Burundi: Mtazamo wa wanafunzi Muda wa kufundisha na mtazamo wa baadhi ya wanafunzi, ni miongoni mwa mambo yanayotanza kasi ya ukuaji wa Kiswahili nchini Burundi.

Ufafanuzi: Kwa nini ni Mabasi Yaendayo Haraka 23/06/2024

Japo neno mwendokasi au mabasi ya mwendo kasi linatumika miongoni mwa wasemaji wa Kiswahili, kimantiki, si sahihi. Sababu zipo kwenye video.

Ufafanuzi: Kwa nini ni Mabasi Yaendayo Haraka Japo neno mwendokasi au mabasi ya mwendo kasi linatumika miongoni mwa wasemaji wa Kiswahili, kimantiki, si sahihi. Sababu zipo kwenye video.

Kiswahili Somalia: Lahaja ni muhimu 22/06/2024

Kufuatia kujiunga kwa Somalia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wasomi wanasema kwamba lahaja za janibu hiyo, k**a vile Chimbalazi/Chimwiini au Kibarawa, Kibajuni zitaongeza mchango katika Kiswahili sanifu. Huu hapa mtazamo wa mtafiti wa lahaja za Kiswahili, Dkt. Mwanahija Ali Juma.

Kiswahili Somalia: Lahaja ni muhimu Kufuatia kujiunga kwa Somalia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wasomi wanasema kwamba lahaja za janibu hiyo, k**a vile Chimbalazi/Chimwiini au Kibarawa, K...

Ufafanuzi: Kwa nini AI ni Akili Mnemba 21/06/2024

Katibu Mtendaji wa BAKITA Consolata Mushi afafanua mantiki iliyoongoza uteuzi wa Akili Mnemba kuwa kisawe cha Artificial Intelligence.

Ufafanuzi: Kwa nini AI ni Akili Mnemba Katibu Mtendaji wa BAKITA Consolata Mushi afafanua mantiki iliyoongoza uteuzi wa Akili Mnemba kuwa kisawe cha Artificial Intelligence.

Huduma za Maktaba Zanzibar mkondoni 12/06/2024

Bodi ya Huduma za Maktaba, Zanzibar inavyohakikisha huduma zinawafikia wote

Huduma za Maktaba Zanzibar mkondoni Mkurugenzi wa Bodi ya Huduma za Maktaba - Zanzibar Bi. Ulfat Abdulaziz Ibrahim, anaeleza jinsi bodi inavyohakikisha kuwa huduma zinapatikana kwa watumiaji wote.

Jumuiya ya Afrika Mashariki iwe na msimmao mmoja kuhusu Kiswahili 08/06/2024

Jumuiya ya Afrika Mashariki Jumuiya ya Afrika Mashariki iwe na msimmao mmoja kuhusu Kiswahili Prim Asiimwe

Jumuiya ya Afrika Mashariki iwe na msimmao mmoja kuhusu Kiswahili Katibu mkuu wa Kamisheni ya Kiswahili Afrika Mashariki Dkt. Caroline Asiimwe akieleza umuhimu wa kuwa na sauti moja katika masuala yanayohusu Kiswahili.

Safari ya Kiswahili bado, wasafiri tusichoke 06/06/2024

Wanafunzi na wasomi ni wengi lakini matumizi ya Kiswahili yanasuasua -Prof. Chacha Nyaigotti-Chacha

Safari ya Kiswahili bado, wasafiri tusichoke Wanafunzi na wasomi ni wengi lakini matumizi ya Kiswahili yanasuasua, asema Prof. Chacha Nyaigotti-Chacha

Kiswahili Italia na Ujerumani 05/06/2024

Kiswahili Italia na Ujerumani

Kiswahili Italia na Ujerumani Dkt. Flavia Aiello na Dkt. Roberto Gaudioso waeleza hali ya Kiswahili nchini Italia na Ujerumani mtawalia.

Want your school to be the top-listed School/college in Tanga?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address


Tanga