16/03/2025
Je, mfasiri kutoka Kenya anaweza kufanya kazi inayolenga Tanzania?
Mfasiri kutoka Kenya anaweza kufanya kazi inayolenga Tanzania?
Katika mdahalo huu, wafasiri na wakalimani kutoka Kenya, Kongo, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, wanajadili ikiwa kuna tofauti zozote zinazoweza kufanya m...
20/08/2024
Hii inakuhusu, Bodi ya Huduma za Maktaba inakualika katika maonesho ya vitabu. Tukutane panapo majaliwa.
27/06/2024
Balozi wa Tanzania nchini Kuba, Humphrey Polepole aeleza jinsi Tanzania inavyokuza Kiswahili katika eneo la Karibe na fursa zilizopo kuelekea Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Havana
Kiswahili Havana, Kuba 2024
Balozi wa Tanzania nchini Kuba, Humphrey Polepole aeleza jinsi Tanzania inavyokuza Kiswahili katika eneo la Karibe na fursa zilizopo kuelekea Kongamano la Ki...
24/06/2024
Muda wa kufundisha na mtazamo wa baadhi ya wanafunzi, ni miongoni mwa mambo yanayotanza kasi ya ukuaji wa Kiswahili nchini Burundi.
Kiswahili Burundi: Mtazamo wa wanafunzi
Muda wa kufundisha na mtazamo wa baadhi ya wanafunzi, ni miongoni mwa mambo yanayotanza kasi ya ukuaji wa Kiswahili nchini Burundi.
23/06/2024
Japo neno mwendokasi au mabasi ya mwendo kasi linatumika miongoni mwa wasemaji wa Kiswahili, kimantiki, si sahihi. Sababu zipo kwenye video.
Ufafanuzi: Kwa nini ni Mabasi Yaendayo Haraka
Japo neno mwendokasi au mabasi ya mwendo kasi linatumika miongoni mwa wasemaji wa Kiswahili, kimantiki, si sahihi. Sababu zipo kwenye video.
22/06/2024
Kufuatia kujiunga kwa Somalia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wasomi wanasema kwamba lahaja za janibu hiyo, k**a vile Chimbalazi/Chimwiini au Kibarawa, Kibajuni zitaongeza mchango katika Kiswahili sanifu. Huu hapa mtazamo wa mtafiti wa lahaja za Kiswahili, Dkt. Mwanahija Ali Juma.
Kiswahili Somalia: Lahaja ni muhimu
Kufuatia kujiunga kwa Somalia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wasomi wanasema kwamba lahaja za janibu hiyo, k**a vile Chimbalazi/Chimwiini au Kibarawa, K...
21/06/2024
Katibu Mtendaji wa BAKITA Consolata Mushi afafanua mantiki iliyoongoza uteuzi wa Akili Mnemba kuwa kisawe cha Artificial Intelligence.
Ufafanuzi: Kwa nini AI ni Akili Mnemba
Katibu Mtendaji wa BAKITA Consolata Mushi afafanua mantiki iliyoongoza uteuzi wa Akili Mnemba kuwa kisawe cha Artificial Intelligence.
12/06/2024
Bodi ya Huduma za Maktaba, Zanzibar inavyohakikisha huduma zinawafikia wote
Huduma za Maktaba Zanzibar mkondoni
Mkurugenzi wa Bodi ya Huduma za Maktaba - Zanzibar Bi. Ulfat Abdulaziz Ibrahim, anaeleza jinsi bodi inavyohakikisha kuwa huduma zinapatikana kwa watumiaji wote.
08/06/2024
Jumuiya ya Afrika Mashariki Jumuiya ya Afrika Mashariki iwe na msimmao mmoja kuhusu Kiswahili Prim Asiimwe
Jumuiya ya Afrika Mashariki iwe na msimmao mmoja kuhusu Kiswahili
Katibu mkuu wa Kamisheni ya Kiswahili Afrika Mashariki Dkt. Caroline Asiimwe akieleza umuhimu wa kuwa na sauti moja katika masuala yanayohusu Kiswahili.
06/06/2024
Wanafunzi na wasomi ni wengi lakini matumizi ya Kiswahili yanasuasua -Prof. Chacha Nyaigotti-Chacha
Safari ya Kiswahili bado, wasafiri tusichoke
Wanafunzi na wasomi ni wengi lakini matumizi ya Kiswahili yanasuasua, asema Prof. Chacha Nyaigotti-Chacha
05/06/2024
Kiswahili Italia na Ujerumani
Kiswahili Italia na Ujerumani
Dkt. Flavia Aiello na Dkt. Roberto Gaudioso waeleza hali ya Kiswahili nchini Italia na Ujerumani mtawalia.
04/05/2024
Mnasaba wa Kiswahili na Nyuga Nyingine - Prof. Fikeni Senkoro
Mnasaba wa Kiswahili na Nyuga Nyingine - Prof. Fikeni Senkoro
Prof. Fikeni Senkoro akidadavua uhusiano uliopo baina ya Kiswahili na taaluma nyingine.