Academic revolution

Academic revolution

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Academic revolution, Education, chanika/handeni, Tanga.

13/03/2024

Wahenga hawa ndio waliotunga ile methali. "Usiache mbachao kwa mswala upitao" Ualimu damuni.

31/12/2023

Heri ya mwaka mpya 2024

02/12/2023

Piga mwarabu awe na heshima Bongo.

28/11/2023

Mchana mwema wa Walimwengu

30/09/2023

*ELIMU YA MIKOPO BENKI* USIPUUZE HII
*ELIMU YA MIKOPO BENKI*

Kumekuwa na malalamiko na vilio kwa baadhi ya watumishi kuhusu mikopo wanayopewa na benki.

Wengi wao wanalaumu mikopo hiyo kuwa ni kandamizi kwao badala ya kuwapa unafuu imegekuka kuwakandamiza na kuyafanya maisha yao kuwa magumu.

Hapa tatizo sio mikopo inayotolewa na benki bali shida ipo kwenye elimu juu ya namna bora ya kukopa.

Kwa kukosa elimu hiyo, mtumishi wa umma unapokwenda kukopa benki afisa mikopo atakupa chaguo (option) ambalo litakuwa na faida zaidi kwa benki.

Mfano,
Mtumishi mwenye mshahara wa
Tsh.700,000/=baada ya makato
(take home)

Kwa mtumishi asiyekuwa na elimu ya mikopo, akifika benki atamuuliza afisa mikopo kwa mshahara wa laki 7 naweza kukopa kiasi gani??

Hapa afisa mikopo atakachoangalia kwanza ni chaguo lipi litaingizia benki faida kubwa zaidi!

Atapiga mahesabu, kuzingatia sheria ya 1/3 ya mshahara ibaki kwa mtumishi , atapata 2/3 ya 700,000/= ni k**a 466,666.67 hivi.

Sasa chukulia hapo muda wa chini uwe miaka mitano.

Atakwambia una uwezo wa kukopa hadi 19M, makatao yote itakuwa sawa na Tsh. 443,000 kwa mwezi.

Mtumishi asiyekuwa na elimu ya mikopo akiangalia mshahara wake anajikuta inabakisha 270,000.
Anamuuliza afisa mikopo nikichukuwa hiyo 19M kwa miaka nane je?

Anaambiwa ukichukuwa hiyo 19M kwa miaka nane kila mwezi utakatwa 325,000 na utabakiwa na 375,000/= kila mwezi.

Mtumishi asiye na elimu hii anakubali kuchukuwa 19M kwa miaka nane kwa sababu tu makato ni madogo.

*USICHOKIJUA SASA*

1. Ukichukuwa mkopo wa 19M kwa miaka
mitano marejesho yako ya Tsh 443,000/=
kila mwezi kwa miaka 5 ni sawa na
Tsh. 443,000×12×5= 26,580,000/= na hivyo
mkopo huo utakuwa umeipatia benki faida
ya Tsh 7,580,000.

2 Ukichukuwa kwa 19m kwa miaka nane kwa
marejesho ya Tsh. 325,000/= kila mwezi
utakuwa na jumla ya marejesho
Tsh. 325,000 ×12×8= Tsh.31,200,000/=
hivyo utaipatia benki faida ya 12,200,000.

17/09/2023

Karoti 🥕 afya ya macho
Limao 🍋 afya ya ngozi
Kabeji 🥬 afya ya tumbo
Ndizi 🍌 afya ya akili
Nanasi 🍍afya ya kifua & kikohozi
Nyanya 🍅 afya ya tezi dume
Maji 🥛afya ya ini
N**i 🥥 afya kuepusha kuhara
Parachichi 🥑 afya ya moyo
Tango 🥒 afya ya ukavu
Mayai 🥚afya ya mifupa & kinga
Spinachi 🥦 afya ya seli nyekundu za damu
Tikiti 🍉 afya ya uume imara
Asali 🍯 afya ya dunia.
Mzigo huo hapo ndugu zangu

28/05/2023

Haijaisha mpaka uishe. Dak 90 zijazo.

27/05/2023

NIACHE KUCHINGIA YATIMA NIMCHENGIE MTU AMBAE SIO YATIMA.

27/05/2023

MAMBO 8 YA KUSHANGAZA YANAYOFANYWA NA MWILI WAKO KUKULINDA PASIPO WEWE KUJUA.

Mwili wa Binadamu unafanya Mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa.

Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru.
Mifumo hiyo inatulinda Masaa 24 ya Siku, Siku zote 7 za Wiki, Katika mambo yote yanayoweza kuhatarisha maisha yetu.

Yafuatayo ni mambo yanayofanywa na Mwili ambayo ni kati ya hiyo mifumo ya ulinzi wa mwili wa Binadamu.

1. KUPIGA MIAYO (YAWNING)
Lengo kubwa la kupiga Muayo ni kuupoza Ubongo baada ya Joto kuzidi kwenye ubongo au baada ya ubongo kuchoka kufanya kazi.

Vile vile k**a ukiwa umechoka au una Njaa husabababisha Oxygen kupungua kwenye Damu na kwenye Mapafu,
Hii hupelekea tatizo la kupumua,
Hivyo kupiga miayo husaidia kuingiza Oxygen ya ziada Mwilini ili irudishe Mwili katika hali yake ya kawaida.

2. KUPIGA CHAFYA (SNEEZING)
Mara nyingi tunapiga Chafya pale Pua zetu zinapokua zimejaa Bakteria wa Magonjwa ambao hawahitajiki Mwilini, Vumbi pamoja na TakaTaka mbali mbali zilizoingia kupitia Pua.

Hivyo kupiga Chafya ni kitenda cha Mwili kujisafisha kwa kuyatoa hayo MaTakaTaka nje yaliyoingia Mwilini.

3. KUJINYOOSHA (STRETCHING)
Kuninyoosha Mwili ni kitendo kisicho cha Hiari ambacho lengo lake ni kuuandaa Mwili kwa ajili ya kazi mbalimbali za kutumia Nguvu utakazokabiliana nazo kwa siku nzima.
Lakini pia kujinyoosha kunaipa Misuli ya Mwili mazoezi na kuiweka sawa vilevile kunarudisha mzunguko wa damu katika hali yake ya kawaida na kumtoa mtu katika uchovu.

4. KWIKWI (HICCUPING)
Najua umewahi kupata kwikwi, Na mara nyingi mara baada ya kumaliza kula Chakula.
Je umeshawahi kujiuliza ile sauti ya ajabu ya kwikwi inasababishwa na nini au kwa sababu gani Watu hushikwa na Kwikwi?

Hiyo yote husababishwa na DIAPHRAGM (tamka DAYA - FRAM) Kiungo kinachopatikana ndani ya Mwili wa Binadamu chini kabisa ya Kifua baada ya mapafu(Lungs).
Kazi kubwa ya diaphragm ni kusaidia katika Upumuaji, (Inhale) na (Exhal

13/05/2023

YANGA BINGWA 2023 TENA. UCKU MWEMA

09/05/2023

Posho FC

09/05/2023

HII IMEKEAAJE?

Want your school to be the top-listed School/college in Tanga?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Chanika/handeni
Tanga