Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh...
Alhamdulillah - Penda na ujifunze kuitumia wakati wa kushukuru neema kutoka kwa Allah.
Mfano :- Alhamdulillah nimeamka salama
Alhamdulillah nimefika salama
Alhamdulillah nimepata rizki
Subhanallah - Jifunze kuitumia katika hali ya mshangao juu ya ukubwa, utukufu, ubora, upekee nk alionao Allah juu ya viumbe vyake
Mfano :- Subhanallah jogoo kataga yai
Subhanallah sijameza dawa asubuhi
Subhanallah nimechelewa kuswali
Uislamu ndio dini yangu na Mtume ndio kiigizo changu
Uislamu ni dini ya hakki ikiwa tutaisoma vizuri na tukaifahamu na pia ni dini ya mashaka k**a tutawaamini maadui wa uislamu pindi wanapouzungumzia uislamu
Alhamdulillah nabadilika kwa kufuata maneno ya Allah Subhanahu wataala na maneno ya Mtume swalallah alayhi wasallam yaliyo sahihi
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Farida Akoth, Naroma Robert, Herode Pilato, Mariaa Awadhi
Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Kidotty Og, Habineza Saidi, Ommy Ommy Ommy Ommy, Shanipha Shabani, Miriam Swalleh, Mwanajuma Hafidh, Muhai Abdul, Rahma Hassan, Aziza Juma, Hvnvjy Ali
Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Mbunzwa Halfan, Jay Mlati
Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Okochizo D Jay Okocha, Zaina Ngesile, Mwanaidi Juma, Abuu Hafswini, Maugo Sanitizer, Kaka Saidi Mkanda, Omar Arosto, Maalim Hamdu Abass, Amini Ali, Hadija Ramadhani, Hamis Halubu Lugomba, Jay Hashim, Adija Omaly, Stacy Shinaz
https://chat.whatsapp.com/ERumUV906cSHtheOlnV7Xu
Jiunge whatsapp group kwa faida zaidi
18/11/2023
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh...
Mhali gani ndugu zangu katika imani.
Naombeni mnishauri nahitaji kuanzisha group la telegram kwa ajili ya kujifunza Quran na hadithi sahihi za mtume swalallah alayhi wasallam kwa itikadi sahihi.
Je nilianzishe?
Group la telegram litasaidia hata mtu aliyechelewa kujiunga pindi atakapojuunga atakuta post zote zilizopostiwa kabla ya yeye kuwepo katika group.
Nataraji mtanijibu katika hili.
Allah atubariki
23/07/2022
Kutoka kwa nabii swalallah alayhi wasallam kutoka aliyoyapokea kutoka kwa Mola wake tabaraka wataala, kwa hakika Allah amesema:"Ewe mja wangu, kwa hakika yenu mnanikosea usiku na mchana na mimi ninasamehe madhambi yote niombeni msamaha nitakusameheni"
Tuombeni msamaha kwa Allah Subhanallahu wataala kabla haijafika siku ambayo tutatamani kuomba msamaha kwa Allah lakini tutakuwa tumechelewa. Huenda tutakuwa katika kilevi cha kifo (sakaratul mauti) au jua litakuwa limechomoza magharibi.
Ewe ndugu yangu katika imani kabla hujalala hakikisha unaomba msamaha kwa Allah kwa yote uliyomkosea kwa siku nzima.
17/07/2022
Tujitahidi kufanya vitu kwa elimu k**a ambavyo Allah na Mtume swalallah alayhi wasallam wametufundisha.
Hakikisha unajua maana ya maandishi yaliyopo katika mali yako ikiwa ni pamoja na mavazi, magari, majumba na mali nyingine zote hata k**a yameandikwa kifaransa au kihindi.
Ikiwa hujui maana yake uliza k**a hujaandika kwenye mali yako au kabla hujanunua hiyo mali, kwani kuuliza sio dhambi na tumeamrishwa waislamu tuwaulize wenye kujua ikiwa sisi hatujui.
Usivae nguo zenye kutangaza k**ari, pombe, ngono au chochote cha haramu sio usivae wakati unaenda kuswali peke yake bali usiivae maisha yako yote na ikitokea mtu amekupatia hiyo nguo usiikatae ichukue na uiteketeze kwa moto 🔥.
Tubadilikeni waislamu tafadhalini...
30/06/2022
Huna kazi ya kufanya!
(Hata k**a unayo naomba utumie mda wako kusoma hii SMS japo kuwa ni ndefu! Pia nikutake radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza)
Ngoja nikupe bishara njema!
*HAYA NDIYO MASIKU BORA YALOWAHI KUCHOMOZEWA NA JUA KATIKA MWAKA HUU*
*HIVO JITAHIDI KUSOMA QUR'AN*
*KUFANYA IBADA ZAKO KWA WAKATI*
*KUMTAJA SANA ALLAH (SUBHAANALLAH WALHAMDULILLAH WALAAILAHA ILLA LLAH WALLAHU AKBAR)*
*KUFANYA TAKBIRA KILA WAKATI (ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR LAAILAHA ILLA LLAH ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBARU WALILLAHI LHAMDU)*
*NA IBAADAT NYENGINEZO NYINGI JITAHIDI ZISIKUPITE KABISA KABISA*
KWANI BORA YA MASIKU YAKO NI YALE YENYE MANUFAA
NA ANAEFANYA KHERI YANABAKI YALE (YA KHERI) ALIYOYAFANYA
UKITENDA KHERI HAIWEZEKANI UKALIPWA SHARI (ABADAN)
KWANI MTU ATAVUNA KILE ALICHOPANDA
NIKUTAKIE SIKU NJEMA!
ALLAH AKUBAARIK!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Hale
Tanga