Uislamu ndio dini yangu na Mtume ndio kiigizo changu

Uislamu ndio dini yangu na Mtume ndio kiigizo changu

Share

Uislamu ni dini ya hakki ikiwa tutaisoma vizuri na tukaifahamu na pia ni dini ya mashaka k**a tutawaamini maadui wa uislamu pindi wanapouzungumzia uislamu

Alhamdulillah nabadilika kwa kufuata maneno ya Allah Subhanahu wataala na maneno ya Mtume swalallah alayhi wasallam yaliyo sahihi

26/09/2024

Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh...
Alhamdulillah - Penda na ujifunze kuitumia wakati wa kushukuru neema kutoka kwa Allah.
Mfano :- Alhamdulillah nimeamka salama
Alhamdulillah nimefika salama
Alhamdulillah nimepata rizki

Subhanallah - Jifunze kuitumia katika hali ya mshangao juu ya ukubwa, utukufu, ubora, upekee nk alionao Allah juu ya viumbe vyake
Mfano :- Subhanallah jogoo kataga yai
Subhanallah sijameza dawa asubuhi
Subhanallah nimechelewa kuswali

24/08/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Farida Akoth, Naroma Robert, Herode Pilato, Mariaa Awadhi

01/08/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Kidotty Og, Habineza Saidi, Ommy Ommy Ommy Ommy, Shanipha Shabani, Miriam Swalleh, Mwanajuma Hafidh, Muhai Abdul, Rahma Hassan, Aziza Juma, Hvnvjy Ali

19/06/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Mbunzwa Halfan, Jay Mlati

19/04/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Okochizo D Jay Okocha, Zaina Ngesile, Mwanaidi Juma, Abuu Hafswini, Maugo Sanitizer, Kaka Saidi Mkanda, Omar Arosto, Maalim Hamdu Abass, Amini Ali, Hadija Ramadhani, Hamis Halubu Lugomba, Jay Hashim, Adija Omaly, Stacy Shinaz

18/11/2023
15/08/2022

Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh...
Mhali gani ndugu zangu katika imani.
Naombeni mnishauri nahitaji kuanzisha group la telegram kwa ajili ya kujifunza Quran na hadithi sahihi za mtume swalallah alayhi wasallam kwa itikadi sahihi.
Je nilianzishe?

Group la telegram litasaidia hata mtu aliyechelewa kujiunga pindi atakapojuunga atakuta post zote zilizopostiwa kabla ya yeye kuwepo katika group.
Nataraji mtanijibu katika hili.
Allah atubariki

23/07/2022

Kutoka kwa nabii swalallah alayhi wasallam kutoka aliyoyapokea kutoka kwa Mola wake tabaraka wataala, kwa hakika Allah amesema:"Ewe mja wangu, kwa hakika yenu mnanikosea usiku na mchana na mimi ninasamehe madhambi yote niombeni msamaha nitakusameheni"

Tuombeni msamaha kwa Allah Subhanallahu wataala kabla haijafika siku ambayo tutatamani kuomba msamaha kwa Allah lakini tutakuwa tumechelewa. Huenda tutakuwa katika kilevi cha kifo (sakaratul mauti) au jua litakuwa limechomoza magharibi.
Ewe ndugu yangu katika imani kabla hujalala hakikisha unaomba msamaha kwa Allah kwa yote uliyomkosea kwa siku nzima.

17/07/2022

Tujitahidi kufanya vitu kwa elimu k**a ambavyo Allah na Mtume swalallah alayhi wasallam wametufundisha.
Hakikisha unajua maana ya maandishi yaliyopo katika mali yako ikiwa ni pamoja na mavazi, magari, majumba na mali nyingine zote hata k**a yameandikwa kifaransa au kihindi.
Ikiwa hujui maana yake uliza k**a hujaandika kwenye mali yako au kabla hujanunua hiyo mali, kwani kuuliza sio dhambi na tumeamrishwa waislamu tuwaulize wenye kujua ikiwa sisi hatujui.
Usivae nguo zenye kutangaza k**ari, pombe, ngono au chochote cha haramu sio usivae wakati unaenda kuswali peke yake bali usiivae maisha yako yote na ikitokea mtu amekupatia hiyo nguo usiikatae ichukue na uiteketeze kwa moto 🔥.
Tubadilikeni waislamu tafadhalini...

30/06/2022

Huna kazi ya kufanya!

(Hata k**a unayo naomba utumie mda wako kusoma hii SMS japo kuwa ni ndefu! Pia nikutake radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza)

Ngoja nikupe bishara njema!

*HAYA NDIYO MASIKU BORA YALOWAHI KUCHOMOZEWA NA JUA KATIKA MWAKA HUU*

*HIVO JITAHIDI KUSOMA QUR'AN*

*KUFANYA IBADA ZAKO KWA WAKATI*

*KUMTAJA SANA ALLAH (SUBHAANALLAH WALHAMDULILLAH WALAAILAHA ILLA LLAH WALLAHU AKBAR)*

*KUFANYA TAKBIRA KILA WAKATI (ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR LAAILAHA ILLA LLAH ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBARU WALILLAHI LHAMDU)*

*NA IBAADAT NYENGINEZO NYINGI JITAHIDI ZISIKUPITE KABISA KABISA*

KWANI BORA YA MASIKU YAKO NI YALE YENYE MANUFAA

NA ANAEFANYA KHERI YANABAKI YALE (YA KHERI) ALIYOYAFANYA

UKITENDA KHERI HAIWEZEKANI UKALIPWA SHARI (ABADAN)

KWANI MTU ATAVUNA KILE ALICHOPANDA

NIKUTAKIE SIKU NJEMA!

ALLAH AKUBAARIK!

Want your school to be the top-listed School/college in Tanga?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Hale
Tanga