21/02/2024
TAHADHARI:
Account hii imechafuliwa na tapeli alijaribu kutakata kupata urahisi wa kupiga watu pesa zao.
Usi fuate Wala kujaribu maelekezo yliyowekwa humu yasiokuea na uhusiano na Shule.
Tunaendelea na taratibu za kuirejesha ktk salama yake
Shukrani sana.
HAKI SEC. SCH.-Tanga
It's 'O' level Mixed Day & Boarding school
20/02/2024
REGISTRATION STILL IN PROGRESS FOR F.ONE
HAKI SEC. SCH.-Tanga
It's 'O' level Mixed Day & Boarding school
04/08/2023
Sasa ni maandalizi ya kozi maalum yaaaaa
PRE-FORM ONE
2023/24
Karibuni sana
28/10/2022
TUNAENDELEA NA PRE-FORM ONE COURSE KWA GHARAMA NAFUU SANA.
25/10/2022
It was a marvelous Saturday
27/09/2020
PRE-FORM ONE LOADING πͺ π
06/01/2020
Tarehe 5/1938 alizaliwa Profesa Ngugi wa Thiong'o nguli na mtu maarufu aliekua na uwezo mkubwa wa kuitumia kalamu vilivyo katika uandishi wa vitabu mbalimbali vinavyotumiaka mashuleni na vyuo vikuu ikiwemo "The river between na This time tommorow"
Alizaliwa nchini Kenya (kamiriithu) na Ni Kati ya waandishi waliopitia misukosuko kutokana na kuandika ukweli kuhusu serikali yake
Je ushawahi kumsikia? Na wapi? ππ
18/11/2019
Mwenye degree asiye na ajira kuna wakati huwa anaona bora angeishia form four na angefanya shughuli nyingine...
Na aliyeishia darasa la saba kutokana na hali ya maisha aliyonayo kuna wakati anaona alipaswa kufika chuo kikuu ili awe na maisha mazuri...HUO NDIYO UTAMU WA MAISHA...
Uzuri ni kwamba maisha huwa hayana formula maalum...aliyesoma maskini, wakati asiyesoma ni tajiri, na kuna asiyesoma maskini wakati aliyesoma ni tajiri...
Mwenye pesa anaumizwa na mapenzi mpaka anatamani kuwa Single na asiye na pesa anaachwa kwa sababu hana kipato cha kumudu gharama za wake mwenzi...
Unawaza kuacha shule ili ufanye biashara kwa sababu watu wengi wanafanikiwa na muda huo huo kuna mwenzako anawaza kuacha biashara kwa sababu biashara hailipi ili arudi shule akimaliza akaajiriwe...
Ingelikuwa maisha yana jibu moja wala tusingeona utamu wake...HUAMINI...? chukua hii wakati wewe unaumiza kichwa ufanye nini ili ufanikiwe kuna mwenzako anatamani angefikia walau hata robo tu ya maisha yako...
Ishi kwa amani...ishi kwa upendo, ishi kwa furaha...maisha ndiyo haya haya...hakuna formula zaidi ya kuishi maisha yako...
Hard work pays...Ni kweli wakati mwingine kwenye maisha kufanikiwa huwa ni bahati, ila ni kwa wale tu ambao wanazielekeza bahati kuja upande wao...
Kuna anayejituma sana lakini miaka nenda rudi hafanikiwi na yupo mvivu na uvivu wake anatusua...kuna anayeweka bidii kubwa kwenye kazi/biashara na bado hafikii malengo...(Utamu wa Maisha)
Usiumize sana kichwa kuishi maisha ya wengine kwenye maisha yako....bali unatakiwa kutumia muda wako mwingi kuishi maisha yako kwenye maisha yako...
Dunia inakuruhusu kupanga na kubonyeza kitufe unachoona ni sahihi na huku ikiwa imeficha "button" ya matokeo...kazi yako kubwa ni kuumiza kichwa kipi ni kitufe sahihi unachopaswa kubonyeza ili kikuonyeshe "button" ya matokeo unayoyahitaji...
"Strategy is about setting yourself apart from the competition...Itβs not a matter of being better at what you do itβs a matter of being different at what you do..."
18/11/2019
K**a mzaha mzaha tu lakn
Ndo hivyo nao
Wamesepa.
Haya kwaherini
03/11/2019
Furaha km hii tena twaitegemea pale matokeo yatakapo tangazwaaaaaa
Best of your luck