24/06/2025
THE FIRST SECONDARY SCHOOL IN TANZANIA ,OUR MOTTO IS "SERVICE NOT SELF"welcome //
24/06/2025
09/05/2025
Life
04/02/2025
If you are willing and obedient, you will eat the good things of the land....
29/01/2025
🙏
Homa ya Inni (Hepatitis B) Sehemu ya Kwanza.
Fahamu juu ya Homa ya Inni (Hepatitis B)
Ugonjwa unaosababishwa na virusi aina ya Hepatitis B vinavyoshambulia kwanza Inni
Huambukizwa kwa kugusana na maji mwili ya mwadhirika (Kujamiiana, Uzazi, damu, mate n.k)
Asilimia 90% ya watu walioambukizwa baada ya miezi sita kinga mwili hushinda ugonjwa huu.
Asilimia kumi huweza kupata maambukizi sugu, makovu kwenye inni, Inni kufeli na hata Saratani ya Inni.
Usikose sehemu ya pili, Afya yako Mtaji wako.
30/04/2023
RAFIKI -Dr Kelvin B Bongole ft Kwaya ya Mtakatifu Malaika Mkuu/Edwin Kamala Rafiki wa Kweli ni Hazina Kubwa, kwa marafiki zangu wote ujumbe huu ni kutoka ndani ya moyo wangu kwenu nyote Mungu awabariki sana.A True Friend is a Great T...
12/12/2021
bahadhi ya wanafunzi wahitimu wa kidato cha nne 2020