Taa ya Elimu
🕌 MAWAIDHA | 🤲 DUA | 🎥 VIDEO FUPI
"Neno moja linaweza kubadili maisha yako." Tu follow kwa video fupi za Kiislamu ambazo zitakuletea faida kubwa sana.
Bonyeza link hapo chini ili kufuata mitandao yetu mingine. 👇👇👇
https://linktr.ee/Taayaelimu
MASHARTI 10 ILIOTANGAZA AL HIKMA FOUNDATION YA NDOA 130
HIZI NDIO ZAMA ZA UONGO
MWENYE IMAN KILA KITU KWAKE KHERI
KUTO KUIHISI IBADA KUNAPUNGUZA THAWABU KATIKA SWALA
KWANINI TUNASEMA MWANADAMU AMEUBWA KWA UDONGO
SUBHANALLAAH 🥲MPAKA JINA LAKO MAUTI YATAKUPOKONYA
HUWEZI KUWA NA AKILI INAYOTUMIKA VIZURI USIPOFUATA MUONGOZO HUU (QURAN)
Qur’an ndio muongozo sahihi wa maisha, na katika mwezi wa Ramadhan, tunapaswa kuipa kipaumbele zaidi kwa kuisoma, kuitafakari, na kuifanyia kazi. Akili ya mwanadamu haiwezi kufanya maamuzi sahihi bila mwongozo wa Qur’an, na mtu asiyeifuata Qur’an yuko hatarini kupotea.
Ramadhan ni fursa ya kurekebisha akili na maisha kwa kurejea kwenye Qur’an, kuitumia k**a mwanga wa maisha yetu, na kuhakikisha kuwa tunafuata uongofu wake. Huu ndio mwezi wa kuisoma kwa wingi, kuisikiliza, na kuiishi, ili akili zetu ziwe na mwanga wa elimu sahihi na hekima.
Mwenyezi Mungu atufanye miongoni mwa wale wanaoshik**ana na Qur’an katika Ramadhan na baada yake, Ameen.
01/03/2025
TAA YA ELIMU tunawatakia Waislamu wote ulimwenguni Ramadhan Kareem. Tunamuomba Allah atutakabalie funga zetu, atutazame kwa rehema Zake, na atuwezeshe kufanikisha malengo ya Ramadhan kwa ibada, taqwa, na kheri.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Contact the school
Telephone
Website
Address
Tanga