19/02/2026
π JIUNGE NASI KATIKA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TAWI LA TANGA - MUHULA WA MACHI 2026
Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga kinakuletea nafasi za masomo kwa muhula wa Machi 2026! Jiunge na sisi na pata kozi bora za ngazi ya Cheti na Diploma, zinazokidhi mahitaji ya soko la ajira.
π KOZI ZINAZOPATIKANA:
1. Utunzaji Kumbukumbu (Records Management)
2. Utawala wa Umma (Public Administration)
3. Ununuzi na Ugavi (Procurement and Supplies Management)
4. Usimamizi wa Rasilimali Watu (Human Resource Management)
5. Uhazili (Secretarial Studies)
π° ADA NAFUU:
- Cheti: TZS 900,000 kwa mwaka, malipo kwa awamu mbili.
- Diploma: TZS 1,100,000 kwa mwaka, malipo kwa awamu mbili.
π HOSTEL NA CHAKULA:
- Hostel: TZS 180,000 kwa muhula mmoja (Ndani na nje ya chuo).
- Chakula: Gharama nafuu sana.
π VIGEZO VYA KUJIUNGA:
- Cheti: Ufaulu wa masomo manne kuanzia alama D, bila kuhusisha masomo ya dini.
- Diploma: Uwe na cheti cha NTALevel4 au ufaulu wa masomo mawili.
π
MAWASILIANO:
- Kwa maswali na fomu za maombi, piga simu kwenye +255752829267, +255655425511, +255685460877 AU +255652158438.
π« ELIMU BORA, MAISHA BORA:
Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga ni mahali pazuri pa kupata elimu bora inayokidhi mahitaji ya soko la ajira. Karibu sana kujiunga na sisi!
SIMS | Login
28/02/2024
π JIUNGE NASI KATIKA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TAWI LA TANGA - MUHULA WA MACHI 2024
Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga kinakuletea nafasi za masomo kwa muhula wa Machi 2024! Jiunge na sisi na pata kozi bora za ngazi ya Cheti na Diploma, zinazokidhi mahitaji ya soko la ajira.
π KOZI ZINAZOPATIKANA:
1. Utunzaji Kumbukumbu (Records Management)
2. Utawala wa Umma (Public Administration)
3. Ununuzi na Ugavi (Procurement and Supplies Management)
4. Usimamizi wa Rasilimali Watu (Human Resource Management)
5. Uhazili (Secretarial Studies)
π° ADA NAFUU:
- Cheti: TZS 800,000 kwa mwaka, malipo kwa awamu mbili.
- Diploma: TZS 1,015,000 kwa mwaka, malipo kwa awamu mbili.
π HOSTEL NA CHAKULA:
- Hostel: TZS 180,000 kwa muhula mmoja (Ndani na nje ya chuo).
- Chakula: Gharama nafuu sana.
π VIGEZO VYA KUJIUNGA:
- Cheti: Ufaulu wa masomo manne kuanzia alama D, bila kuhusisha masomo ya dini.
- Diploma: Uwe na cheti cha NTALevel4 au ufaulu wa masomo mawili.
π
MAWASILIANO:
- Kwa maswali na fomu za maombi, piga simu kwenye +255688205484.
π« ELIMU BORA, MAISHA BORA:
Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga ni mahali pazuri pa kupata elimu bora inayokidhi mahitaji ya soko la ajira. Karibu sana kujiunga na sisi!
.
10/02/2024
π Exciting News! π
Are you interested in advancing your career in public service or pursuing higher education in Tanzania? Look no further! Introducing the "Tanzania Public Service College - Tanga Campus" page!
Join us for daily updates, insightful articles, and discussions on public service education and career opportunities in Tanzania. Whether you're a student, professional, or simply curious about public service, there's something here for everyone.
Why Follow "Tanzania Public Service College - Tanga Campus"?
β
Credible and up-to-date information about courses, events, and opportunities at Tanga Campus.
β
Engaging content to keep you informed about the latest developments in public service education.
β
Connect with fellow students, alumni, and professionals in the field of public service.
Don't miss out on this valuable resource! Click the follow button and be part of our vibrant community today!
[Follow "Tanzania Public Service College - Tanga Campus" here!](https://www.facebook.com/tpsctangacampus?mibextid=2JQ9oc)
02/11/2023
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Anna Chongela, Doy Elisha, Fatuma Mohamed, Dhiada Mwasote, Eledina Matle, Mars Eugen, Rose Sanane, GΓΆΓΈd MsΔngΓ€mΓ₯, Mery Ngowi, Meek Razzle, Asmah Hussen, Maryam Binde, Ngolo Mbelele, Juma Yusuphu, Hosiana Lema, Joan Johari Kasunzu, Nour Classic, Rashid Hamis, Elibariki Laizer, Johanes Method, Juma Hamisi, Atius Albert, Samweli Jeremia, Issa Nchika, Ausi Nchimbi, Isaya Waya
05/10/2023
Je! wewe ni mwanafunzi mpya katika Tawi letu la Tanga? Chuo kinafunguliwa tarehe 9 October 2023. Karibuni sana
05/10/2023
Karibu chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga kwa elimu Bora kwa gharama nafuu
26/06/2023
Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga inawatangazia nafasi za masomo kwa muhula wa Septemba 2023 utakaoanza mwezi Oktoba. Tunatoa kozi zifuatazo kwa ngazi ya cheti na Diploma 1. Utunzaji Kumbukumbu (Records Management) 2. Utawala wa Umma (Public Administration) 3. Ununuzi na Ugavi (Procurement and Supplies Management) 4. Usimamizi wa Rasilimali Watu (Human Resource Management) 5.Uhazili (Secretarial Studies) Ada yetu ni bei nafuu sana, kwa mwaka wa masomo kwa ngazi ya cheti ni 800,000 na ngazi ya Diploma ni 1,015,000. Zinalipwa kwa awamu mbili ngazi ya cheti watoa 400,000 kwa muhula wa kwanza na anapoingia Muhula wa Pili anamalizia 400,000. Hivyohivyo kwa masomo ya Diploma analipa 515,000 anavyoanza muhula wa kwanza na anamalizia 500,000 anapoingia muhula wa pili. Hostel zinapatikana ndani ya chuo na nje ya chuo kwa gharama ya 180,000 kwa muhula mmoja. Chakula kinapatikana kwa gharama nafuu sana. Karibuni sana Chuo cha Utumishi wa Umma tawi la Tanga kwa ajili ya Elimu bora na mafunzo yanayokidhi mahitaji ya soko la ajira kwasasa. Kwa masawasiliano zaidi namna ya kupata fomu ya maombi ya kujiunga na chuo usisite kutupigia kupia namba hii +255752829267
Tanzania Public Service College Tanga Campus
Development of skills, knowledge, and awareness in Management, Leadership, Administration, and Office
15/02/2023
Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga inawatangazia nafasi za masomo kwa muhula wa Machi 2023 utakaoanza mwezi Machi. Tunatoa kozi zifuatazo kwa ngazi ya cheti na Diploma
1. Utunzaji Kumbukumbu (Records Management)
2. Utawala wa Umma (Public Administration)
3. Ununuzi na Ugavi (Procurement and Supplies Management)
4. Usimamizi wa Rasilimali Watu (Human Resource Management)
5.Uhazili (Secretarial Studies)
Ada yetu ni bei nafuu sana, kwa mwaka wa masomo kwa ngazi ya cheti ni 800,000 na ngazi ya Diploma ni 1,015,000. Zinalipwa kwa awamu mbili ngazi ya cheti watoa 400,000 kwa muhula wa kwanza na anapoingia Muhula wa Pili anamalizia 400,000.
Hivyohivyo kwa masomo ya Diploma analipa 515,000 anavyoanza muhula wa kwanza na anamalizia 500,000 anapoingia muhula wa pili.
Hostel zinapatikana ndani ya chuo na nje ya chuo kwa gharama ya 180,000 kwa muhula mmoja.
Chakula kinapatikana kwa gharama nafuu sana.
Karibuni sana Chuo cha Utumishi wa Umma tawi la Tanga kwa ajili ya Elimu bora na mafunzo yanayokidhi mahitaji ya soko la ajira kwasasa.
Kwa masawasiliano zaidi namna ya kupata fomu ya maombi ya kujiunga na chuo usisite kutupigia kupia namba hii +255688205484
18/06/2021
Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga inawatangazia nafasi za masomo kwa muhula wa 2021/2022 utakaoanza mwezi October. Tunatoa kozi zifuatazo kwa ngazi ya cheti na Diploma
1. Utunzaji Kumbukumbu (Records Management)
2. Utawala wa Umma (Public Administration)
3. Ununuzi na Ugavi (Procurement and Supplies Management)
4. Usimamizi wa Rasilimali Watu (Human Resource Management)
5.Uhazili (Secretarial Studies)
Ada yetu ni bei nafuu sana, kwa mwaka wa masomo kwa ngazi ya cheti ni 800,000 na ngazi ya Diploma ni 1,015,000. Zinalipwa kwa awamu mbili ngazi ya cheti watoa 400,000 kwa muhula wa kwanza na anapoingia Muhula wa Pili anamalizia 400,000. Hivyohivyo kwa masomo ya Diploma analipa 515,000 anavyoanza muhula wa kwanza na anamalizia 500,000 anapoingia muhula wa pili.
Hostel zinapatikana ndani ya chuo na nje ya chuo kwa gharama ya 180,000 kwa muhula mmoja.
Chakula kinapatikana kwa gharama nafuu sana.
Karibuni sana Chuo cha Utumishi wa Umma tawi la Tanga kwa ajili ya Elimu bora na mafunzo yanayokidhi mahitaji ya soko la ajira kwasasa.
Kwa masawasiliano zaidi namna ya kupata fomu ya maombi ya kujiunga na chuo usisite kutupigia kupia namba hii +255716229195