11/06/2026
Lumière Daycare Center ni shule ya watoto kuanzia miaka miwili hadi mitano. Tunaendelea kuandikisha watoto wapya kwa ajili ya muhula wa pili July, 2026. Shule ipo Sahare,Tanga (Jirani na Kanisa kubwa la Roman Catholic).
Mawasiliano:
👉🏾Namba za simu ni:0658 557 722/ 0621 095 577
👉🏾Email: [email protected]
👉🏾Instagram: lumiereschooltanga
👉🏾Facebook: LumiereDayCareCentre
👉🏾Shule ina mazingira mazuri kwa watoto,vifaa vya kufundishia na michezo ya kisasa.
👉🏾Walimu wenye uzoefu na wanaopenda watoto
👉🏾Lugha ya kufundishia ni kingereza
Karibuni sana!
28/05/2026
Fathers, Grandfathers, Brothers, Uncle, thank you so much❗️❗️❗️.....Happy holiday
28/05/2026
Hakuna pia k**a baba!!!Dear fathers....nyinyi ni wathamani sana kwenye maisha yetu!!!Tunawathamini na kuwapenda mno!!!!😍🤩
28/05/2026
Holiday season is here🤗🤗🤗🤗🤗🤗Wababa Sallute🫡🫡🫡🫡, Ahsanteni sana kwa kuja🙏🙏🙏🙏
28/05/2026
Hello baby Hamisa!Happy birthday to you baby girl!🤩😍🥰🎂🎂🎂🎂🎂
20/05/2026
Lumière Daycare Center ni shule ya watoto kuanzia miaka miwili hadi mitano. Tunaendelea kuandikisha watoto wapya kwa ajili ya intake mpya ya January 2026. Shule ipo Sahare,Tanga (Jirani na Kanisa kubwa la Roman Catholic).
Mawasiliano:
👉🏾Namba za simu ni:0658 557 722
👉🏾Email: [email protected]
👉🏾Instagram: lumiereschooltanga
👉🏾Facebook: LumiereDayCareCentre
👉🏾Shule ina mazingira mazuri kwa watoto,vifaa vya kufundishia na michezo ya kisasa.
👉🏾Walimu wenye uzoefu na wanaopenda watoto
👉🏾Lugha ya kufundishia ni kingereza
Karibuni sana!
20/05/2026
Watoto ambao wapo nyumbani....huku Lumiere DayCare Centre rafiki zao wanawasubiri, term ijayo mapema tunawaomba wazazi mtuletee hao watoto wapya tafadhali😍😍😍, tupo sahare pembeni ya kanisa kubwa la roman catholic
20/05/2026
Hello dear parents/guardians.....tukiwa tunaelekea mwisho mwisho kumaliza term ya kwanza, tunawakaribisha tumeshaanza kuandikisha watoto wapya kwa ajili ya kuungana nasi term ijayo.
Usajili inaendelea, karibuni sana wanafunzi wapya, wazazi/walezi karibuni kwenye familia yetu ya Lumiere DayCare Centre, tupo Tanga pembeni ya kanisa kubwa la roman catholic.
19/05/2026
Learning is a continous process📚✏️✏️✏️📝