ABUU AYMAN online business

ABUU AYMAN online business

Share

๐Ÿ’ฅMAFUNZO JINSI YA KUAGIZA BIDHAA NCHINI CHINA

https://wa.me/message/FWLOXJEOR5VYL1

08/06/2026

๐Ÿ’ฅWafanyabiashara wengi wamekuwa wakijiuliza maswali mengi sana sana kuhusu mchakato mzima wa uagizaji bidhaa moja kwa moja kutoka ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณChina wao wenyewe bila mawakala, Na Yawezekana Nawe pia ni miongoni mwa WANAO JIULIZA!!!, Je, unajiuliza haya?
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1. Nitapataje wauzaji wa bei nafuu lakini wenye bidhaa bora? ๐Ÿ”๐Ÿ’ฐ

2. Nitawezaje kuwasiliana na muuzaji k**a sijui Kichina au Kiingereza vizuri? ๐Ÿ—ฃ๏ธ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง

3. Gharama za usafirishaji nitazijuaje mapema ili nisije kuingia hasara? ๐Ÿš›๐Ÿ’ต

4. Nitalipaje kwa usalama bila kuhatarisha pesa zangu? ๐Ÿ’ณ๐Ÿ”’

5. Ubora wa bidhaa nitaujua vipiโ€”je, hii ni original au feki? โœ…๐Ÿ“ฆโŒ6. Je, nikilipia bidhaa na muuzaji asinipatie, nitapataje msaada wa kurejeshewa pesa zangu? ๐Ÿ”„๐Ÿ’ธ

7. Mzigo wangu utasafirishwaje hadi Tanzania kwa uhakika na usalama? โœˆ๏ธ๐Ÿšข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

8. Nitawezaje kufuatilia mzigo wangu hatua kwa hatua hadi unipofikia? ๐Ÿ“ฒ๐Ÿ”

9. Gharama za ziada k**a kodi na usafirishaji nitazifahamu vipi ili kupanga vizuri bajeti? ๐Ÿ’ต๐Ÿ“‰๐Ÿ“ˆ

10. Mbinu gani za kupata bei punguzo na kujadiliana na wauzaji? ๐Ÿ—จ๏ธ๐Ÿ’ฐ

11. Je, bidhaa nitakazoleta zinakubalika kwenye soko la Tanzania? ๐Ÿ›’๐Ÿ“ˆ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

12. Muda wa mzigo kufika Tanzania ni kiasi gani? โฑ๏ธ๐ŸŒ

13. Nifanye nini ikiwa mzigo utakutana na changamoto njiani? ๐Ÿ›‘๐Ÿ“ฆ

14. Je, nitapata msaada wa uhakika kutoka kwa kampuni za usafirishaji zenye gharama nafuu? ๐Ÿ“ž๐Ÿš›๐Ÿ’ฒ15. Ushauri wa kitaalamu utakaonipa mwongozo wa kukabiliana na changamoto za kiuhakika ukoje? ๐Ÿ“˜๐Ÿค

๐Ÿ’ฅSasa, suluhisho la maswali yako yote haya Tunalo sisi ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณChina To ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟTanzania!, Tutakupatia majibu ya maswali yako yote, Ushauri pia Tutakuelekeze mwanzo mwisho namna ambavyo waweza kuagiza bidhaa mwenyewe nchini China bila Wakala!!!

Wasiliana nasi WhatsApp, BONYEZA HAPA๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡https://wa.me/message/FWLOXJEOR5VYL1

03/01/2025
08/11/2024

๐Ÿ’ฅENDAPO UKAJIUNGA NA MAFUNZO YANGU BASI UTAJIFUNZA MAMBO MENGI SANA MIONGONI MWA HAYO NI๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
1. Namna ya kupata wauzaji waaminifu wauzaji wenye kuuza bidhaa kwa bie za jumla na Rejareja tena kwa bei nafuu!!

2. Namna ya kuwasiliana na wauzaji hao (hata k**a haujui kichina wala kizungu) na kupata punguzo zaidi la bei!!

3. Namna ya kuzitambua bidhaa katika ubora wake yaani bidhaa Og na Feki!!

4. Namna ya kulipia bidhaa zako kwa njia salama kabisa kiasi ambacho kupoteza pesa zako ni jambo gumu sana tena sana labda tu mungu atake!!

5. Namna ya kufanya hesabu ya makadirio ya gharama za usafirishaji bidhaa zako China To Tanzania!!

6. Namna ya kufanya maamuzi ya njia sahihi ya kusafirisha bidhaa zako kupitia kampuni aminifu zenye kusafirisha bidhaa China To Tanzania kwa bei nafuu(Meli & Ndege)!!

7. Jinsi ya kuzipokea bidhaa zako pindi zinapofika Tanzania na kulipia gharama za usafirishaji bidhaa zako kwa njia nyepesi na salama kabisa na jinsi bidhaa zako zitakapo kufikia huko ulipo(Mkoani) kwa usalama kabisa!!

๐Ÿ’ฅKama utajiunga na mafunzo yangu basi nitakupa offer ya kukuibia siri kidogo jinsi ya kuagiza bidhaa nchi zingine nje na China k**a vile Uturuki, India, Marekani, Dubai n.k ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ’ฅNa uzuri ni kwamba mafunzo haya ni kwa vitendo hivyo basi utapata usimamizi wangu kwa hatua ya Awali mpaka ufanikiwe kuagiza mzigo yaani utakuwa bega kwa bega na mimi kieleweke๐Ÿ”ฅ in shaa Allah, Lengo ni ili upate uzoefu siku nyingine uwe unaagiza tu mwenyewe kwani utakuwa tiyari ushaiva ushakuwa mtaalamu)
๐Ÿ’ฅKUJA INBOX KWANGU WHATSSAPP BONYEZA KIUNGA HIKI ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://wa.me/message/FWLOXJEOR5VYL1

Photos from ABUU AYMAN online business's post 01/05/2024

๐Ÿ’ฅNJOO TUKUPATIE MAFUNZO KWA UAMINIFU 100%, USIENDE KWA WATU WAJANJA WAJANJA๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Want your school to be the top-listed School/college in Tanga?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Pongwe
Tanga
21208