09/08/2018
Mzee miaka 70 ahukumiwa Miaka 30 jela kwa ubakaji wa Mtoto mdogo – Millardayo.com
Leo August 9, 2018 Mahakama ya Wilaya Bukoba chini ya Hakimu mkazi Samweli Maweda imemuhukumu miaka 30 jela mzee wa miaka 70 kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 11 wa kata ya Maruku halmashauri ya wilaya Bukoba Mkoani Kagera. Akiongea nje ya mahakama Wakili wa serikali mkoa wa Kagera Emmanuel Kahigi....
09/08/2018
BABATI, MANYARA: Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza wa Shule ya Msingi, Maganjwa abakwa na kuharibiwa vibaya sehemu zake za siri hali iliyomsababishi ugonjwa wa Fistula.
> Mtuhumiwa wa tukio hilo anashikiliwa na Jeshi la Polisi na uchunguzi utakapokamilika atafikishwa Mahakamani
Zaidi, soma => http://bit.ly/2Ok7zPy
12/06/2018
'Matukio ya unyanyasaji wa Kijinsia yanazidi ya Ujambazi nchini'
Naibu waziri wa Afya Dr Faustine Ndungulile amesema kwa sasa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vimeongezeka kwa asilimia kubwa nakufikia Elfu 41 kwa mwaka ...
21/02/2018
Wanamuita daz baba au daz mwalimu , anasema vijana msitumie madawa ya kulevya Wa bangi na muige mfano wake yeye hatumii chochote
16/02/2018
Mtoto wa Kitanzania amerudishwa nchini baada ya Wazazi wake kuhukumiwa kifo nchini China kwa kukutwa na hatia ya kusafirisha .
> Baraka ambaye ni Baba wa Mtoto huyo alitoa kwa njia ya haja kubwa p**i 47 na Ashura ambaye ni Mama yake alitoa p**i 82
Zaidi, soma ~ http://bit.ly/2CohuNF