St Thomas Institute Of Management And Technology Songea-Ruhuwiko

St Thomas Institute Of Management And Technology Songea-Ruhuwiko welcome St Thomas institute of management and technology Songea.

Permanently closed.
Haya matokeo tayari yameshatoka usiumize kichwa juu ya mwanao wapi umpelekeWasiliana na uongoz wa st. Thomas - ili mwana...
29/01/2023

Haya matokeo tayari yameshatoka usiumize kichwa juu ya mwanao wapi umpeleke
Wasiliana na uongoz wa st. Thomas - ili mwanao aweze kupata elimu bora
Wana coz nyingi nzuri ambazo ni rahis hata kwa upatikanaji wa ajira
K**a vile
1.Community development
2.Social work
3.Agriculture
4.Information technology
5.Business administration
6.Records management na
7.Nursary teaching
Chuo kipo songea mjini mkoa wa ruvuma

Bado hujachelewa Kwa Elimu Bora ya Vitendo yenye Kukupa Fursa ya Kujiajiri ama kuajiriwa Na Taasisi Binafsi au Za Serika...
02/07/2021

Bado hujachelewa Kwa Elimu Bora ya Vitendo yenye Kukupa Fursa ya Kujiajiri ama kuajiriwa Na Taasisi Binafsi au Za Serikali

Kwa ngazi ya Cheti na Diploma karibu Chuo cha St. Thomas www.stimat.ac.tz Songea Mjini kwa Muhula wa Masomo unao Tarajia kuanza Mwezi wa Tisa na Mwezi wa Kumi 2021/2022.

Wasiliana nasi kwa Wasap Namba👇 0622450433.
👉Hii ni kwa Wale Wanao Kuja Kujiunga na Chuo Chetu na Gharama ya Fomu ya Maelekezo Italipiwa Moja kwa Moja Chuoni. Nyote Mnakaribishwa

St. Thomas Institute of Management & Technology, STIMAT

29/05/2021

Mwaka wa Masomo 2021/2022. Mwezi wa tisa. Karibuni, St. Thomas College. Kozi zitolewazo kwa Cheti na Diploma.
1.Maendeleo ya jamii ( Community development)
2.Ustawi wa jamii (Social work)
3. Kilimo (General agriculture)
4.Elimu ya Biashara (Business adminstration)
5.Utunzaji wa nyaraka, kumbukumbu na habari (Record achieves and information management)
6.Komputa, tekinolojia ya habari na mawasiliano (Computing, information and communication technology) Sifa ni pasi ya D kwa masomo manne au Cheti kutoka chuo kinacho tambuliwa na serikali au Kidato cha sita awe na pasi moja na subsidiary. Form za kujiunga na chuo zina patikana kwa barua pepe ya chuo [email protected] au piga Simu kwa maelezo zaidi 0622450433. Nyote mnakaribishwa

14/04/2021

Uongozi wa Chuo www.stimat.at.tz unapenda kuwatakia Mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu Ramadan Kareem.

Chuo cha mtakatifu Thomas Songea tuna toa pole kwa Makamu wa Rais wa Tanzania, viongozi wote pamoja na wananchi wote wa ...
18/03/2021

Chuo cha mtakatifu Thomas Songea tuna toa pole kwa Makamu wa Rais wa Tanzania, viongozi wote pamoja na wananchi wote wa Tanzania . Punzika kwa amani Mh. Dtk John Pombe Magufuli Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

12/03/2021
(March Intake) Kwa maelekezo ya kina na upatikanaji wa fomu ya kujiunga na chuo cha STIMAT waweza wasiliana nasi kwa kup...
12/03/2021

(March Intake) Kwa maelekezo ya kina na upatikanaji wa fomu ya kujiunga na chuo cha STIMAT waweza wasiliana nasi kwa kupiga au Wasap namba +255622450433. Nyote mnakaribishwa.

St. Thomas Institute of Management & Technology, STIMAT

Tuna penda kuwa karibisha Chuo cha St. Thomas (stimat.ac.tz) Songea mjini kwa kozi zifuatazo Muhula wa mwezi wa nne 2021...
04/03/2021

Tuna penda kuwa karibisha Chuo cha St. Thomas (stimat.ac.tz) Songea mjini kwa kozi zifuatazo Muhula wa mwezi wa nne 2021 kwa maelekezo ya ziada una weza piga au kutuma ujumbe WasapApp Namba 0622450433.

19/02/2021

Karibu Muhula wa masomo unao anza mwezi wa nne mwaka 2021. Kwa kozi ngazi ya Cheti na Diploma. 0688232121,0622450433.

19/11/2020

Wasiliana nasi kwa namba 0622450433, Kozi zitolewazo :
1- Maendeleo ya Jamii (Community Development)
2- Management ya utunzaji wa nyaraka kumbukumbu na habari (Records Achieves and information management )
3- Elimu ya Biashara (Business Administration)
4- Kompyuta ,teknolojia ya habari na mawasiliano (Computing information and communication technology)
5- Ustawi wa Jamii (Social Work)
6- Kilimo (General Agriculture)
Nyote mnakaribishwa
Sifa ni ufaulu wa pasi D nne kwa ngazi ya Cheti..

October intake 2020/2021. Wasiliana nasi +255622450433
10/08/2020

October intake 2020/2021. Wasiliana nasi +255622450433

Wasiliana nasi kwa namba 0622450433, Kozi zitolewazo :
1- Maendeleo ya Jamii (Community Development)
2- Management ya utunzaji wa nyaraka kumbukumbu na habari (Records Achieves and information management )
3- Elimu ya Biashara (Business Administration)
4- Kompyuta ,teknolojia ya habari na mawasiliano (Computing information and communication technology)
5- Ustawi wa Jamii (Social Work)
6- Kilimo (General Agriculture)
Nyote mnakaribishwa
Sifa ni ufaulu wa pasi D nne kwa ngazi ya Cheti..

Baada ya tamko kutoka kwa Mh Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt JPM .Baada ya kupambana na virusi vya Covid-19...
21/05/2020

Baada ya tamko kutoka kwa Mh Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt JPM .Baada ya kupambana na virusi vya Covid-19.

Tuna penda kukukaribisha mwananchi Mwenye sifa husika kujiunga na Chuo chetu kilichopo Songea mjini .

Tarehe 01-06-2020 .Chuo kina funguliwa wahi mapema kufika chuoni.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba zifuatazo :
0622450433, 0783176848, 0628864284

Nyote mnakaribishwa kwa elimu bora na vitendo www.stimat.ac.tz

Address

Ruhuwiko
Songea

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when St Thomas Institute Of Management And Technology Songea-Ruhuwiko posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to St Thomas Institute Of Management And Technology Songea-Ruhuwiko:

Shortcuts

Share