NGUVU YA IMANI

NGUVU YA IMANI Warumi 10:17
Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.

WACHUNGAJI WENGI MKISHA JUA MADHAIFU NA TABIA ZA WASHIRIKA WENU, KWANINI HUWA YANAKUWA SEHEMU ZA MAHUBIRI YENU? Acheni M...
09/06/2022

WACHUNGAJI WENGI MKISHA JUA MADHAIFU NA TABIA ZA WASHIRIKA WENU, KWANINI HUWA YANAKUWA SEHEMU ZA MAHUBIRI YENU? Acheni Mara moja, hizo ni Tabia Mbaya, "Mbaya Sana" mnadumaza makanisa yenu wenyewe. Hubirini Injili hamjaletwa kuhubiri Tabia za watu.

People with low density do not face challenges because they are like climbing a small Mountain, DO NOT CAMPARE YOURSELF ...
25/04/2022

People with low density do not face challenges because they are like climbing a small Mountain, DO NOT CAMPARE YOURSELF with them

Even if your sitting in the same with someone do not compromise with him, for He does NOT, go where you Go

👉 Imani ni Uhakika, Kuwaza, Kusema na  Kutenda = MATOKEO👉MAISHA BILA MALENGO, NI SAWA NA KUTEMBEA UKIWA KIPOFU, Ndio Maa...
19/04/2022

👉 Imani ni Uhakika, Kuwaza, Kusema na Kutenda = MATOKEO

👉MAISHA BILA MALENGO, NI SAWA NA KUTEMBEA UKIWA KIPOFU, Ndio Maana Mungu akasema kwenye Neno lake

Yakobo 2:26
Maana k**a vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

NGUVU YA IMANI INTERNATIONAL MINISTRYKuamini ni kung'ang'ania,Yesu anajua kabisa huyu ni kipofu na natakiwa kuponya ila ...
15/04/2022

NGUVU YA IMANI INTERNATIONAL MINISTRY

Kuamini ni kung'ang'ania,

Yesu anajua kabisa huyu ni kipofu na natakiwa kuponya ila hamponyi anamuuliza kwanza ili atakachopewa asije akakichezea, Kwa kupewa bila kukitaka mwenyewe 🤏

HANGO

NGUVU YA IMANI INTERNATIONAL MINISTRYSOMO:- IMANI YA KUNG'OA MILIMAKILA MTU NI SHUJAA WA IMANI, KABLA HAJAKUMBWA NA TATI...
12/04/2022

NGUVU YA IMANI INTERNATIONAL MINISTRY

SOMO:- IMANI YA KUNG'OA MILIMA

KILA MTU NI SHUJAA WA IMANI, KABLA HAJAKUMBWA NA TATIZO, LAKINI AKISHAKUMBWA NA TATIZO ANAKUWA HAKUMBUKI K**A AMEWAHI KUAMINI, {Yesu Akamuuliza unataka nikufanyie Nini} "AKAJIBU" nipate kuona Tena, Yesu Akamwambia Imani yako IMEKUPONYA

Zechariah 8:19This is what the LORD Almighty says: "The fasts of the fourth, fifth, seventh and tenth months will become...
03/04/2022

Zechariah 8:19
This is what the LORD Almighty says: "The fasts of the fourth, fifth, seventh and tenth months will become joyful and glad occasions and happy festivals for Judah. Therefore love truth and peace."

Usilazimishe wala kuharakisha mambo. K**a jambo limepangwa kutokea litatokea tu kwa wakati sahihi na kwa sababu sahihi K...
01/04/2022

Usilazimishe wala kuharakisha mambo. K**a jambo limepangwa kutokea litatokea tu kwa wakati sahihi na kwa sababu sahihi

Kwa Mafundisho na ushauri, piga +255673812765

29/03/2022

Waebrania 11:6
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.

👉 Tunaweza kuwa Wana MAOMBI lakini, je tunampendeza Mungu wetu?
👉 Tunaweza kufunga na kuomba lakini je, tunampendeza Mungu?
👉 Tunaweza kuwa watoaji na kusali Sana, na wingi wa ibada, lakini je, tunampendeza Mungu?

Swali:- Je, tunawezaje kumpendeza Mungu ?

✍️ Tunaweza kumpendeza Mungu Kwa kuamini.

Swali lingine:- Imani ni Nini ?

✍️ Kuwa na Uhakika wa kupata jambo ambalo hata k**a Bado hujalipata lakini wewe ukae kana kwamba unalo kumbe Bado hujalipata

❤️ Hapo ndipo kumpendeza Mungu

Aminaa
Kwa Maombi na USHAURI tupigie Kwa +255673812765 au tuandikie Kwa barua pepe [email protected]

Ubarikiwe na Bwana Yesu

26/02/2022

Shalom watu wa MUNGU, tutaendelea na Mafundisho ya neno la Mungu,

TUNAOMBA RADHI KWA UKIMYA WA MUDA MREFU

Address

Karakana
Singida

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NGUVU YA IMANI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category