T.A.G - Valley Of Blessing - BLB

T.A.G - Valley Of Blessing - BLB "We've been Called to bless others"
2 Chronicles 20:26

06/09/2026

| | | September 06/ 2026 | | |

| | | | |

EQUITY BANK :-
A/C 300 5211 4956 76
Jina : T.A.G - BONDE LA BARAKA - NYASAKA "A".

EQUITY BANK :-
A/C 300 5211 9415 51
Jina : T.A.G - BONDE LA BARAKA - NYASAKA "A" UJENZI.

LIPA VODA :-
54331617

LIPA TIGO :
15621008
JINA : VALLEY OF BLESSING BLB


Mawasiliano:-
[email protected]
+255 ( 0 ) 757 129 776 - Whatsapp
+255 ( 0 ) 672 129 776 - Text and Call
2026 - MWAKA WA MATENDO MAKUU YA BWANA
____________________________
Pastor Michael FOJ
TAG - BLB, NYASAKA A.

06/09/2026

06 / 2026

|    |   | September 06/ 2026 |   |   ||   |    |   |    |EQUITY BANK :-A/C  300 5211 4956 76Jina : T.A.G - BONDE LA BAR...
06/09/2026

| | | September 06/ 2026 | | |

| | | | |

EQUITY BANK :-
A/C 300 5211 4956 76
Jina : T.A.G - BONDE LA BARAKA - NYASAKA "A".

EQUITY BANK :-
A/C 300 5211 9415 51
Jina : T.A.G - BONDE LA BARAKA - NYASAKA "A" UJENZI.

LIPA VODA :-
54331617

LIPA TIGO :
15621008
JINA : VALLEY OF BLESSING BLB


Mawasiliano:-
[email protected]
+255 ( 0 ) 757 129 776 - Whatsapp
+255 ( 0 ) 672 129 776 - Text and Call
2026 - MWAKA WA MATENDO MAKUU YA BWANA
____________________________
Pastor Michael FOJ
TAG - BLB, NYASAKA A.

 1: Mwogope sana mtu anayepigana kutoka kwenye Ushindi.( Warumi 8:37 )2: Mwogope sana mtu anayefanya kazi akiwa kwenye S...
03/09/2026



1: Mwogope sana mtu anayepigana kutoka kwenye Ushindi.
( Warumi 8:37 )

2: Mwogope sana mtu anayefanya kazi akiwa kwenye Sabato la moyo ( Pumziko la moyo )
( Mathayo 11:28-30 )

3: Mwogope sana mtu Anayeishi akiwa amekufa.
( Wakolosai 2:20 , Wafilipi 1:21 )

4: Mwogope sana mtu Anayejua nyakati alizopo na nini afanye katika hizo nyakati.
( 2 Nyakati 12:32 )

5: Mwogope sana mtu Mwenye kutawaliwa na Nia ya Kristo , asiyehesabu faida yake katika mema yote.
( Wafilipi 2:1-10 )

6: Mwogope sana mtu Anayekuja k**a mmoja kumbe ni Taifa.
( Mwanzo 12:1-5 ; 1 Petro 2:9 )

7: Mwogope sana mtu Anayeonekana dhaifu , walakini emejaa stara za Bwana.
( Zaburi 32:1-2 , Warumi 4:6-8 ).

8: Mwogope sana mtu Katikati ya Vita , Yeye anaimba zaburi. Katikati ya mishale yeye amejilaza kando ya mto akimsikia Bwana.
( Zaburi 18 & 23 ).

9: Mwogope sana mtu Ukimwijia kwa silaha za mwilini , Yeye anakujia kwa Jina la Bwana.
( 1 Samweli 17:45 - 56 )

10: Mwogope sana mtu Aliyetayari kupoteza vyote ila sio kumtetemekea mwanadamu na kumsujudia k**a Mungu.
( Esta 4:1 )

NB : Usijikwae kwa huyo mtu.

_________________
Michael FOJ
Mwanza, Tanzania.
+255 (0) 757 129 776.

 Nikiwa nacheza na mtoto wangu, mara bila kudhamiria nikamgonga, akaanguka,  akalia; akiwa analia nilijisikia vibaya san...
01/09/2026



Nikiwa nacheza na mtoto wangu, mara bila kudhamiria nikamgonga, akaanguka, akalia; akiwa analia nilijisikia vibaya sana, ndio niliumia moyoni; basi nikawahi kumchukua alipokuwa chini, wakati namwendea alisema akiwa na maumivu "Wewe sio baba yangu, hunipendi, umenigonga", ndani ya sekunde kadhaa nilijisikia vibaya kusikia neno hilo, lakini baada ya kukaa chini nikakumbuka kuwa ni "MTOTO"; hajui wala hamaanishi asemayo, na amepata uhuru huu wa kusema hivi kwa sababu "ANANIAMINI".

Basi nikamchukua, nikambeba, nikaenda naye dukani, nikanunua "CHECHE" akafurahi sana; wakati tunarudi, akaniuliza "BABA UNANIPENDA" ? ( tayari karudi kwenye mfumo ) !

Hili swali lilinipa kujiuliza maswali mengi ndani, ndio mengi kwa wakati mmoja; lakini katika yote, nilisikia Roho mtakatifu ananisemesha jambo; "Mwanao yupo kwenye kipindi cha kutaka kuthibitishiwa k**a kweli unampenda kwa "maneno na matendo yako", walakini anasikia maneno mengi kutoka kwa makundi mbalimbali ya watu...."

Wakati haya yanaendelea, tulifika nyumbani, nikapiga naye picha "selfie " , alafu nikamuuliza kutoka kwenye picha " Hivi unafanana na nani " ? , akajibu "NAFANANA NA WEWE BABA" ( huku nikijua lazima aseme hivyo, kwa kuwa humsikia mara nyingi mama yake na watu wengine wakisema Micholine anafanana na Mchungaji mno ) , Nikamwambia "MIMI NI BABA YAKO", Akajibu kwa furaha katika namna ya kuuliza "KWELI ?" , nikamwambia "NDIO NI KWELI KABISA" , Akanikumbatia, akasema "NAKUPENDA BABA", Nikamwambia "NAKUPENDA PIA MWANANGU".

Okay ..... Ipo hivi !

:-

1:- HUJENGWA KATIKA IMANI.

“Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.”
— Wagalatia 3:26 (Biblia Takatifu)

NB:- Mahusiano yoyote hujengwa katika "IMANI" baina ya watu wawili au watatu. Imani hupitia vipindi mbalimbali ili ithibitishwe katika matendo.

2:- HUJENGWA KATIKA MUUNGANIKO WA ROHO.

“Na kwa kuwa ninyi mmekuwa wana, Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, aliaye, Aba, yaani, Baba.”
— Wagalatia 4:6 (Biblia Takatifu)

:-

“Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.”
— 1 Yohana 3:1 (Biblia Takatifu)


________________________
Michael FOJ
Mwanza, Tanzania.
+255 (0) 757 129 776.

31/08/2026

| | | 30 / 08 / 2026 | | |

| | | | |

EQUITY BANK :-
A/C 300 5211 4956 76
Jina : T.A.G - BONDE LA BARAKA - NYASAKA "A".

EQUITY BANK :-
A/C 300 5211 9415 51
Jina : T.A.G - BONDE LA BARAKA - NYASAKA "A" UJENZI.

LIPA VODA :-
54331617

LIPA TIGO :
15621008
JINA : VALLEY OF BLESSING BLB


Mawasiliano:-
[email protected]
+255 ( 0 ) 757 129 776 - Whatsapp
+255 ( 0 ) 672 129 776 - Text and Call
2026 - MWAKA WA MATENDO MAKUU YA BWANA
____________________________
Pastor Michael FOJ
TAG - BLB, NYASAKA A.

Address

Mwanza

Telephone

+255748129776

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when T.A.G - Valley Of Blessing - BLB posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share