10/12/2020
Hedhi(Mp), ni jambo la fisiolojia(kawaida) ambalo hutokea kwa wanawake wote wenye Rika la kuzaa(reproductive age),
Hedhi haiwezi kutolea kwa mjamzito, wanawake waliokfunga kizazi,wanawake amabao hawapo katika umri wa kuzaa, baadhi ya wanawake amabao wanatumia njia za uzazi wa mpango,pamoja na baadhi ya magonjwa ya akina mama.
Kuna utofauti mkubwa Kati ya mzungukowa hedhi na mtiririko wa siku za hedhi, mzunguko wa hedhi(menstrual cycle) huu ni siku za mzunguko mpaka kuja kuona hedhi nyingine, ambayo hii hutofautiana Kati ya mtu na mtu wengine inachukua siku 27(mfupi) 28(kawaida) >29 (mrefu). Mtiririko wa siku za hedhi hizi ni siku ambazo mwanamke ankuwa kene hedhi inawekuchukua siku3,4,5,6, na wengine 7 hii ni kawaida
Kisayansi hedhi ya kawaida(normal menstrual period), huelezewa K**a ifuatavyo
Mwanamke akiwa kene hedhi 1-6(siku za damu) kujibomoa kwa ukuta wa mji wa uzazi(uterus) hivyo mwanamke huona damu kwa sababu ya kuchunika kwa ukuta huo
Siku ya 7-10, ukuta uliojimomonyoa huanza kujitengeneza kwa ajili ya maandalizi ya mwezi mwingine, wakati huu mimba haiwezi kutungwa
Siku ya 11-18, ni wakati ambao ukuta huu unakuwa umepima, na umerudi katika Hali yake ya kawaida, na huu ni wasaa ambapo yai la mwanamke linakuwa limekomaa tayari kusubiri litolewe kwa ajili ya kururubishwa na mbegu ya kiume......muda huu ndo mimba hutungwa
Siku ya 19 nakuendelaea, K**a yai halikurutubishwa ukuta huu huanza maandalizi ya kuchunika au kumomontoka ili kujiandaa na urutubishwaji mwingine.....ikitoke yai hili likarutubishwa hivyo mwanamke huyu hataona hedhi mwezi unaokuja
.K.leon
#
#
semba
tools