07/08/2025
TANZIA
MKUU wa Shule kwa masikitiko makubwa anatangaza kufariki kwa mwalimu Hadija Omary Jumbe. Marehemu amefariki pamoja na mtoto wake mchanga. Sababu ya kufariki ni tatizo la uzazi. Mwalimu alikuwa mwalimu wa malezi shuleni pia mwalimu wa hostel.
Tunaomba kwa mwenyezimungu ampokee na ahifadhi roho yake mahala pema, amina.