13/04/2021
PULISIC, NEYMAR JR. WATAJWA K**A NYOTA WA MCHEZO.
Kiungo mshambuliaji wa Chelsea na timu ya Taifa ya Marekani Christian Pulisic (pichani)hii Leo ametajwa kma nyota wa mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya kati ya Chelsea Vs Fc Porto
Pulisic amekuwa na mchezo mzuri hii Leo huku takwimu zikionyesha kufanyiwa madhambi Mara kumi na moja 11 hii ikionyesha kwamba footwork yake ilikuwa mzuri kwa siku ya Leo.
Kwenye mchezo mwingne
Neymar Jr (pichani),pia amechaguliwa k**a nyota wa mchezo katika mechi ya mkondo wa pili ya hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya kati ya Fc Bayern Munich vs PSG