22/04/2024
Moyo huandika!!
Na kinachoandikwa na Moyo huweza kusomwa na moyo tu.
Ukitumia macho huwezi kusoma kilichoandika na moyo!!
Wengi hawaoni ulichoandika kwa moyo wako sababu wanatumia macho kusoma!
Siku ukikutana na mwenye moyo unaoweza kusoma utashangaa wale waliokuwa wanasema hawaoni ulichoandika.
Nisikilize sasa nikunasue mahali..
1.Sio kaz yako kuwafundisha watu wasome ulichoandika moyoni...mwenye moyo wake ataona tu.
2. Wasioona ulichoandika ,tatzo si lako. Ni la upofu wa mioyo yao! Sasa endelea kuhangaika nao k**a una hospitali ya kufanya opereshemi za mioyo, k**a huna unafanya nini?
3. The Greatest heart ni Mungu, usijali ....yeye anaona. Endelea kuandika kwa moyo na muumba mioyo atakuunganisha na moyo/mioyo sahihi.
Subira is key.
****
Usiumie moyo.
Keep writting.