04/05/2021
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba, katika Ofisi ya Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo Mei 04, 2021.