27/08/2026
Biashara ni Ukomavu
Biashara siyo suala la kuwa na mtaji tu; biashara inahitaji ukomavu wa akili, maamuzi na tabia.
Ukomavu katika biashara ni:
1: Kujua wakati wa kuanza na wakati wa kusubiri.
2:Kutokata tamaa unapopata hasara.
3:Kukubali kujifunza kutokana na makosa.
4:Kutenganisha fedha ya biashara na matumizi binafsi.
5:Kuwaheshimu wateja hata wanapokukwaza.
6:Kuwa mvumilivu unapojenga biashara yako.
📖 Mithali 21:5: “Mawazo ya mwenye bidii huleta faida...”
Usikimbilie matokeo; jenga ukomavu.Biashara ikikukuta umepevuka kiakili, utaweza kuisimamia hata wakati wa changamoto.
#
By madamfikratulivu .
0767309660