Sokoine university of agriculture home of professionals

Sokoine university of agriculture home of professionals graduate with A's not with AIDS

JE NI KWELI ELIMU NI UFUNGUA WA MAISHA..habar za zenu waungwana. nimeona leo nilete mada hii ili nipate mawazo tofauti t...
19/01/2015

JE NI KWELI ELIMU NI UFUNGUA WA MAISHA..
habar za zenu waungwana. nimeona leo nilete mada hii ili nipate mawazo tofauti toka kwenu. zamani wazazi walikua wakituhusia mara kwa mara kuwa elimu ndo mkombozi wa maisha yetu. watu wakajitahidi kusom na kusom bt still wengi wao wapo mtaani na mwelekeo wa maisha hawauoni..why still there are profs n doctors bt live a poor life. je elimu haikuwapa funguo. ama tatizo ni nini

10/12/2013

"Nelson Mandela has fought
for social justice for 67 years.
We’re asking you to start with
67 minutes."
"We would be honoured if
such a day can serve to bring
together people around the
world to fight poverty and
promote peace and
reconciliation,"
"Nelson Mandela has fought for social justice for 67 years. We’re asking you to start with 67 minutes." "We would be honoured if such a day can serve to bring together people around the world to fight poverty and promote peace and reconciliation,"

20/10/2013

mtangazaji wa zamani wa tvt,, itv na radio one julius nyaisanga amefariki dunia leo asubuh katika hospitali ya mazimbu mkoan morogoro,,
marehem alikua anasumbuliwa na msukumo wa damu pamoja na sukari,,
mungu ailaze roho ya marehem mahala pema pepon,
ameen

20/10/2013

MAAJABU MENGINE YA NAIBU WAZIRI WA
ELIMU,MH MULUGO
Akiwa katika ziara ya kutembelea chuo
cha ualimu Tukuyu. Wakufunzi
walimuuliza swali kwanini
hawapandishwi madaraja kwa muda
mrefu.
Mmoja wa wakufunzi alilalamika toka
aajiriwe yuko daraja D ingawa ana
mwaka wa kumi kazini. Mulugo akajibu
kwamba atahakikisha anapanda daraja
mpaka A mwaka huu. Akidhani daraja A
ni kubwa kuliko E wakufunzi wote
wakabaki kumshangaa akiwamo mkuu
wa chuo wa pale.
Akiongea na wanafunzi wanafunzi
walimuomba serikali iwaajili hata k**a
wame fail somo moja yaani k**a wana
supplementary moja katika mtihani wao
wa mwisho. Mulugo akajibu kwamba
suppementary ni somo k**a masomo
mengine hivyo ni lazima wafaulu
supplementary asiyefaulu atakiona. Yeye
akidhani supplementary ni mojawapo ya
somo katika course ya ualimu.
Swali:
Alipewaje wizara nyeti k**a hiyo wakati
haijui kabisa?

17/10/2013

STORY:- HOW I END UP SUA
mi ni raja na hii ndio story yangu fupi kwa namna nlivofika SUA.
ilikua ni majira ya saa kumi jion jua likiwa linawaka kupita kiasi.hii ilikua ni katika kijiji ya usangi wilaya ya mwanga mkoa wa kilimanjaro-Tanzania.
nikiwa katika mihangaiko yangu binafsi ya kuendeleza maisha, trii triii trii, nilihisi mtetemesho katika paja langu la kushoto,nikaingiza mkono mfukoni kuangalia simu ikawa inaita,alikua ni baba mdogo wa tanga.
baba:- halow rajab uko wap.
raja :- nko usangi.
baba :- fanya ufanyavo leo hii ufike tanga uje uandike barua ya maombi ya chuo pamoja na vyeti vyako kesho ipelekwe wizarani.
nilijikuta nimeingiwa na furaha isiyo na kifani na akili ikawa inawaza tu nifike tanga, umbali wa kutoka usangi mpaka tanga ulikua unagarimu masaa ka 6, matarajio ya kufika yalikua sa 4 usiku.
bila kuchelewa wala kurudi nyumbani kubadili nguo nlipata usafiri wa kunifikisha mwanga ambapo nlikodisha pikipiki ili niwahi kufika.baada ya dk 45 nlikua tayari nshafika japo napo nlichelewa gari ya kwenda tanga. nikapata basi ambalo lilisema linafika mombo lakin liliishia same. ikabidi nikae kituon nisubiri hata malori ya kwenda hata mpaka mombo,
mungu si athumani ilitokea town hice ikasimama mbele yetu, dereva akasema wanao taka kuwahi mombo gari hii hapa inaend.nlishukuru mungu nikapanda bila kujali garam.
nlivofika tu ndani ya gari macho yangu yalitua kifuani mwa dada mmoja ambaye alikuwa amebana maziwa yake vizuri sana watoto wa siku hizi wanaita V.gafla nikajikuta nimeropoka na kutoa salam. moyo ukapatwa na mshtuko zaid baada ya kusikia sauti ya yule mwanadad. haki ya nanitena kuna watu duniani wanaivishawishi hawchelewi kugombanisha wenye viapo.
kamshale ka saa kaliendelea kupiga safari ikiwa imepamba moto dada hyo taratibu akaanza kusinzia kwa mbali na akaniegemea kwenye bega la kulia.nikiwa najua dada kapitiwa na usingizi mate yalikua yananidondoka mno kila nikitazama chuchu zake.shetani akanitumaa kua nijidai k**a nimesahau vile nikapeleka mkono taratibu nikaanza kushika chuchu.kwa mbali nikajiskia kijasho chembamba kikinitoka na mapigo ya moyo kwende mbio kuliko kawaida.ni baada ya kuhisi zipu ikiwa inafunguliwa taratibu na nikaanza kuhisi vidole vilaini vikiwa vinanigus gusa.............
ITAENDELEA KESHO TENA USIKOSE
(like zikiwa nyingi nitaendelea baadae badala ya kesho.. usisahau ku share pia na marafiki wakaona na waambie wanafunzi wote wa sua na wale waliochaguliwa sua, na wale wanaopenda sua na kujua kinachoendelea sua wasisahau ku like hii page)

wen ticha ritan
15/10/2013

wen ticha ritan

11/10/2013

leo ni siku ya watoto wa k**e duniani,,,
hem taja jina moja la mtoto wa k**e unaemkubali sana,,,
mi naanza na KHADIJA MSUYA
WW JE?

06/10/2013

jaman ndugu zangu kumekucha tena ila
tambueni kuwa
USIKU WA DENI HAUCHELEWI KUKUCHA,

ukihonga honga kiakili usije ukazani kua ulipendwa,,,   sua kwa mliochaguliwa
01/10/2013

ukihonga honga kiakili usije ukazani kua ulipendwa,,,
sua kwa mliochaguliwa

13/09/2013

Mwanamke mmoja
amek**atwa uwanja wa ndege wa
Colombia akiwa na mimba bandia, mimba
hiyo imejaza dawa za kulevya. Nini
kifanyike kukabiliana na usafarisha wa
dawa za kulevya?
source: bbc swahili

31/08/2013

result are out
some have clear ( congatulation),,, some have supplimentary (probation) never blame couz god has give u a secound chance focus n kip fight,,
bt we lost other (discountinuer) don be discouraged coz dat is fate,, only god knw ur destiny just don give up da fight,, alwayz remember A DOGS LUCKY Z ON HIS FEET
Shukuru mungu kwa yote,,
just type AMEEN

24/08/2013

WHAT IS STRESS? Stress is when you give
a beautiful lady a lift and she
faints in your car.You take her to
hospital.When you
get there the Doctor says that she is
pregnant
and
Congratulates u that u're going to be a
father!
You then says u are not the father but
then the
lady
says u are!
NOW THIS IS GETTING VERY STRESSFUL!
You require a DNA test to prove u are not
the
father! Now the s**t is really getting
Hotter!
When the Doctor comes back with the
results
and
say u cannot be the father as u are
infertile! U
are
relieved! On ur way back u then
remember that u are
married with 3 kids at home!
You are now extremely stressed!
And ask yourself WHO THE HELL IS THEIR
FATHER .NOW THAT'S STRESS.

Address

Morogoro
30000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sokoine university of agriculture home of professionals posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category