13/10/2025
Zaidi ya Mungu, wazazi... Hakuna mtu mwingine anayependa ndoa ya mtu iwe na amani, upendo na kudumu muda mrefu.
Hivyo, hufanya vyovyote ili kuhakikisha amani, furaha, upendo na kudumu kwa muda mrefu wa ndoa kutofikiwa.
Unajua hakuna mtu ambaye anapenda ndoa yake ivunjike, hakuna mwanaume anayetamani kutoka nje ya ndoa, hakuna mwanamke anayetamani kumchiti mume wake
Pasipo kujua;.
Wako wanaopambana usiku na mchana kuhakikisha mnafarakana.
Wanaotafuta kila namna kumroga mume au mke wako.
Wanafanya chochote ili mume wako atembee nao.
Wako tayari kufanya lolote ili kuhakikisha kuwa ndoa haidumu
Kila mmoja kwenye ndoa anapaswa kupigana vita zake vizuri ili mipango yao isifanikiwe.
Kila mmoja anapaswa kumwombea mwenzake kwa mzigo sana endapo anaitaka ndoa
Kuacha kidogo tu kusimama kwenye nafasi ambayo unapaswa kuwa ni nafasi nzuri ya adui kutimiza lengo lake.
Kusema nimeshaolewa ndo basi haujishughulishi na lolote, utaipoteza ndoa.
Mpende, mlinde na kumtunza mukeo
Mpende, mheshimu, mtii, mwombee mumeo.