23/05/2023
Mungu awalinde na kuwasimaamia ktk maoso yenu na ndoto zetu.hakika mmezakiwa upya
Tunamshukuru mungu kwa kutuwezesha kuwalea vijana kwenye misingi ya dini na kumjua mungu hawa ni wanafunzi ambao wameacha historia kubwa kwetu kwa kuweza kubatizwa na kumpokea yesu kuwa bwana na mwokozi ktk maisha yetu.sisi k**a viongozi tumefurahi na tutaendelea kuwalea watt katka misingi ya kumjua mungu ili waweze kuwa na hofu ya mungu kuacha matendo mabaya na kufanya matendo mema yanayompendeza mungu.tunawashukuru wachungaji na wazazi wa vijana hawa kwa hamasa za mara kwa mara na kutujenga kiroho.