Academy for Development and Life Advancement

Academy for Development and Life Advancement Empowering Change Makers to Make Lasting Impact

03/04/2025

Watu wengi wana ndoto ya kubadili jamii β€” lakini wachache huanza.
Wachache zaidi hujua ni hatua zipi sahihi za kuchukua… na hapo ndipo wengi hukwama.

Lakini vipi k**a ungepata nafasi ya kipekee β€” nafasi ya kuamka kila siku ukijua kwamba unaijenga taasisi yenye kuleta athari ya kweli, inayosaidia, na inayogusa maisha ya watu?

🀲🏽 Usisubiri muda sahihi β€” huo muda ni sasa.
πŸ› οΈ Fursa hii haitaji CV, haitaji mtaji mkubwa… inahitaji tu moyo, dhamira, na hatua ya kwanza.

🎯 Ikiwa unahisi umetumwa duniani kuacha alama,
πŸ‘‰ Tazama video hii mpaka mwisho.
Inaweza kuwa ndio mlango pekee uliosubiri kufunguliwa kwa muda mrefu.

12/11/2024

Ulipitwa na darasa la RSH Strategy? Au unahisi kuna jambo jipya la kujifunza litakaloinua NGO yako?

VIDEO hii itakupa nafasi ya:

βœ… Kujifunza njia za kuanzisha miradi ya kipato endelevu (SIGA) ili kuimarisha NGO yako kifedha.

βœ… Kugundua mbinu za kuvutia wafadhili na kupata ruzuku kubwa.

βœ… Kuandika mapendekezo bora ambayo ni vigumu kufutiliwa mbali.

βœ… Kuinua NGO yako kwa usimamizi bora na ubunifu wa kipekee.

πŸŽ₯ Darasa hili limewasaidia wengi. Na sasa ni nafasi yako kujifunza na kufanikisha malengo yako!

🌟 UNATAKA KUJIFUNZA MBINU ZA KUKUSANYA SHILINGI 10,000,000 ndani ya SAA 24? 🌟Basi Usikose Kuhudhuria Darasa Hili Litakal...
26/09/2024

🌟 UNATAKA KUJIFUNZA MBINU ZA KUKUSANYA SHILINGI 10,000,000 ndani ya SAA 24? 🌟

Basi Usikose Kuhudhuria Darasa Hili Litakalofanyika kwa Njia ya ZOOM MEETINGS

πŸ—“οΈ Septemba 26, 2024

πŸ•˜ Saa 3 Usiku (EAT)

πŸ“ Mada: 7 FUNDING STRATEGIES (How to Raise 10,000,000/- in 24 Hours)

πŸ’‘Njoo ujifunze mbinu Bora za Kukusanya Fedha kwaajili ya Mradi wako kwa Haraka! Zaidi

πŸ”— Jiunge HAPA πŸ‘‡πŸ½:

https://us06web.zoom.us/j/82714186201?pwd=vTgtIPENVqTH7Rb6cNW5L5ttucuG6I.1

πŸ†” Meeting ID: 82714186201

πŸ”‘ Passcode: 613524

πŸš€ USIKOSE!

πŸ—“οΈ Jiandae Vizuri kwa Kuweka Muda na Kusaijili Darasa hili katika Calendar App yako

πŸ“’πŸ–ŠοΈ Weka Note Book yako na Kalamu Karibu Kabisa.

πŸ›‹οΈ Tafuta Sehemu Tulivu na nzuri.

πŸ˜‰ Then, tuonane Saa Tatu Kamili ndani ya ZOom

12/08/2024

Ujumbe muhimu kwa Wamiliki wa NGOs
Je wewe ni mmiliki wa NGO ambae moja ya changamoto kubwa ni kupata ruzuku (Funds) ya kutosha kuendesha miradi ya NGO yako?
K**a jibu ni ndio ningependa kuongea na wewe.
Kwa jina naitwa Yusuf Abdul,
Ninawasaidia Wamiliki wa NGOs k**a wewe kupata ruzuku (Funds) kutoka nje ya nchi kwa uhakika na wepesi zaidi kupitia Njia ya RSH (Receiving yet Strong Hand)
Nategemea kuandaa darasa la bure kwa wamiliki wa NGOs k**a wewe kushea fomular ya kupata ruzuku kwaajili ya kuendesha NGOs yako bila stress
K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ucomment namba yako ya WhatsApp hapa chini au nitumie ujumbe wa WhatsApp kwenda namba 0753696313.
Ikisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo ili nipate kuiadrress ndani ya darasa hilo.
Comment namba yako hapa chini mara moja kabla ya group letu kujaa.
Ni mimi mwenye kujali mafanikio ya NGOs yako,
Yusuf Abdul
Mkurugenzi wa ADLA
(Academy for Development and Life Advancement)

Address

61501
Mkuranga
86

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Academy for Development and Life Advancement posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category