21/11/2016
Katika maisha ya mwanadamu kuna matukio mengi sana, lakini kuna matukio makuu matatu makubwa, kuzaliwa, kuishi na kufa. Katika kuzaliwa kwao hawajitambui, katika kuishi wanajutia sana na wanapo kufa huangaika sana. Haya ndo maisha kamili ya binadamu.