18/12/2024
Celebrating my 12th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉
It is a school started on 12th April 2004 with only 3 teachers, the late Madam Gilbert (headmistress), Mwangosi and Timothy. It is located at Ushirika TKY
18/12/2024
Celebrating my 12th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉
05/12/2016
Tag them
Habarini followers wa shule ya Mpuguso.....
Mr. Kiberitu Fortune Teller....
Anayekumbuka hiyo title ipo kitabu cha kidato gani.... Mulifundishwa na mwalimu gani.....
21/11/2015
amewapa Shout out mufuatao kutoka mpuguso...... Na wengine aliowasahau.
Nakubari sana mchango wenu katika maisha yangu kwa kila hatua Mungu aliyo nisaidia kuipita
1. O level -Tupasyege Absalom,Sifa Mbuluma,Sikujua Nelson,Jane Isa,veronica Staford,Agness Lusekelo,Erasto Joseph,Baraka Ntubwa,Joshwa Isaya,Moyo Osiah,Huruma Amos,Atufigwege keneth,Esil Abel,Maclean mwakasangula bila kumsahau mdogo wangu kipenzi Subilaga Wilfred wakishirikiana na Mlwafu,kaboneka,kelvin,Mgeni,ulime,Mhanga,Mwema,Mgidange na mtu muhimu sanaa katika hesabu Deus Ngerangera Mungu awabariki na awape mafanikio zaid ya hayo mliyonayo sasa kwa upendo wa dhati mlionyesha kwangu.
Mpugusoo.... Eleza uko wapi now
Ulipotoka Mpuguso ulienda wapi?
Wangapi wamechimba wanja wa michezo na graduation kule chini na Mwl. Kaboneka?
02/08/2015
Mpuguso yetu enzi hizo....
Credits to: Noel Sibonike
Ulimaliza mwaka gani Mpuguso... Watu gani huto wasahau?
09/11/2014
Wanja wa basket, na mazingira yote in general
09/11/2014
Nakumbuka hii parking ilianzishwa na mshikaji mmoja alikua anaitwa John a.k.a Stick, Mwasyalingi na wengineo,,,, mmoja akajifanya mmoja kajikata na alijikata kweli ili wapunguziwe adhabu... Bila Shaka wlifanikiwa ku mtrick Mwl .....