Kozi ya Secretarial and computer training ni kozi ambayo haijwai kushuka thamani kwa zaidi ya miaka ishirini kwani ni kozi ambayo Ina ajira kila ofisi, ingia kwenye comment uone maeneo unayoweza kuajiriwa ukiisoma
Tazanna College
Tazanna College is a registered institute under NACTVET, the college offer long and short courses
Tailoring and Fashion Design ni kozi inayoajiri watu wengi sana. K**a una nia ya kusoma ufanye maisha baada ya kumaliza kusoma kozii itakufaa sana, hutokaa mtaani, ingia kwenye comment tunekuandalia maeneo ambayo wanaajiri baada ya kusoma Tailoring and Fashion Design
Hotel management/Food production ni kozi ambayo Ina ajira nyingi sana. Wazazi mlete mtoto asome kozi ambayo hatojutia. Kwenye comment tumeweka sehemu ambazo unaweza kuajiriwa ukisoma kozi hii.
Tupigie 0752511511 au 0652344366. Wazazi karibu msomeshe watoto wapate ujuzi utakaowapa ajira ya maisha huku wanaingiza kipato
Karibu Tazanna College chuo kipo Mbeya mjini eneo la block T karibu na kanisa KKKT Ruanda-Kabwe. Tupigie Simu 0752511511 au 0652344366
Hii ni kubwa kuliko, k**a unajiandaa kwenda chuo kusoma ngazi ya Certificate, Diploma au Degree, pia kwa wale wanaojiandaa na ajira au kujiajiri usikose offer hii ya laptop. UNASOMA KOZI YA COMPUTER KWA MIEZI MITATU KWA GHARAMA YA TSH 350,000/= UNAPEWA LAPTOP BURE. LAPTOP UNAPEWA SIKU UNAYOFIKA CHUONI.
Tupo Mbeya jiji eneo la block T karibu na kanisa kkkt Ruanda. tupigie simu 0752511511
Tazanna College Tazanna College is a registered institute under NACTVET, the college offer long and short courses
Tupigie Simu 0752511511 au 0652344366
TUMEWALETEA TENA! OFA HII SI YA KUKOSA, UNASOMA COMPUTER UNAPEWA NA LAPTOP BURE. ZINGATIA LAPTOP UNAPEWA SIKU UNAYOANZA KUSOMA. GHARAMA YA KOZI HII NI 350,000/= TU
Tupigie Simu sasa 0752511511
Tunaendelea kupokea wanachuo kwa muhula mpya wa masomo, hostel zipo kwa wanaotoka mbali, tunautaribu mzuri wa kupokea wanafunzi kutoka mikoa yote Tanzania.
Kozi tunazotoa
1. Hotel management and Tourism.
2. Secretarial and computer Training
3. Business Operation Assistant
4. Tailoring and Fashion Design
5. Hair Dressing, Beauty and Decorations
Pia tuna kozi nyingine za muda mfupi ambazo ni Computer, ushonaji na utengenezaji wa keki
Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu nne kwa wazazi wanaotegemea kilimo tuletee mtoto unalipia ada kipindi Cha mavuno tu.
Tupigie sasa 0752511511
Hapa tunajifunza kwa vitendo tu, karibu chuoni kwetu Tazanna College , tupo Mbeya Jiji eneo la block T, karibu na kania KKKT RUANDA. Cha kukuhakikishia hakuna mwanachuo ambaye amemaliza chuo hajui kusuka. Na k**a muda wako wa kusoma umeisha na bado Kuna style ya kusuka hujaiweza unaongezewa muda Hadi uelewe ndo uapewa Cheti.
TUPIGIE SASA 0752511511
Tunaendelea kupokea wanachuo kutoka mikoa kusoma kozi ya Salon, makeup na mapambo ukumbini. Nafasi za hostel zipo kwa wanaotoka nje ya Jiji la Mbeya.
Faida za kusoma kozi za salon chuoni tofauti na mitaani:-
i. Chuo tunafundisha kwa kufuata mitaala ya serikali, hivyo baada ya kumaliza unapewa cheti ambacho kitakusaidia kwenye ajira zinazotangazwa kwenye ofisi mbalimbali k**a kufundisha vyuo vya ufundi, kufanya KAZI kwenye movie k**a makeup artist n.k
ii. Uhakika wa kusoma na kuelewa, kwakua sisi tupo kwa ajili ya kufundisha tu tofauti na mtaani watakufundisha kutokana na muda ambao mfundishaji anapata.
iii. Usalama wa ada yako, tofauti na mtaani unaweza kulipa na muhusika akaacha biashara ya salon au akahama eneo la kazi.
iv. Mafunzo yanatolewa kwa kuzingatia maadili yote, tofauti na mtaani ambapo kila mtu anafanya kwa utashi wake na tabia zake alizonazo.
v. Mbali na salon pia tunawafundisha wanachuo wetu Computer na Kingereza k**a bonus.
vi. Utajumuika na wanachuo wenzako kwenye study tour na refreshment tour zinazoandaliwa na chuo
Pia tuna kozi nyingine ambazo:-
1. Hotel management and Tourism
2. Secretarial and computer Training
3. Tailoring and Fashion Design
4. Business operation assistant
5. Computer Training
0752511511 au 0652344366
Tazanna College bado tunapokea wanachuo kwa muhula mpya wa masomo. Chuo chetu kinafundisha kozi zote kwa vitendo zaidi kuliko nadharia, kozi tunazotoa ni;
1. Hotel management and Tourism
2. Secretarial and computer Training
3. Tailoring and Fashion Design
4. Business Operation Assistant
5. Hair Dressing, Beauty and Decorations
6. Ushonaji
7. Computer na kozi nyingi za muda mfupi, tupigie Simu kujiunga na chuo. Chuo kipo jijini Mbeya eneo la block T karibu na kabisa KKKT RUANDA
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Block T
Mbeya