Maarifa ya ki-Mungu

Maarifa ya ki-Mungu

Share

Maisha bora hujengwa na misingi imara ya imani.

19/11/2023
05/09/2017

Mungu huwapenda sana wale wamtafutao katika roho na kweli....huwaepusha na mabaya yote na huwapigania katika mambo yao yote.....Tumtafute Mungu maadamu anapatikana na tumuite maadamu yupo karibu....Tufanye mema siku zote kwa sifa na utukufu wa Mungu...

15/07/2016

Biblia inasema neno la Kristo likae kwa wingi
ndani yetu (Wakolosai 3:16).
Kwa nini basi neno la Kristo likae kwa wingi
ndani yetu? Ni kwa sababu lina mambo
yafuatayo ambayo ni muhimu katika maisha
yetu ya Ukristo. Mambo hayo ni…
A) Neno la Mungu li Hai
B) Neno la Mungu lina nguvu (Mwanzo 1:6).
C) Neno la Mungu lina ukali kuliko upanga
D) Neno la Mungu linachoma hata
kuzigawanya nafsi, roho viungo na mafuta
yaliyomo ndani yake
E) Neno la Mungu li jepesi kuyatambua
mawazo na makusudi ya moyo

14/07/2016

Tafakari ya Leo
Mathayo 7:12

12 Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.

10/02/2016

Mungu anatupenda sana...
anatulinda na mabaya yote usiku na mchana...
tumtegemee yeye ili tuzidi kupata baraka zake kila wakati.

Want your school to be the top-listed School/college in Mbeya?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


Mbeya