15/10/2023
Welcome to our school
Africa Academic Centre ni kituo kinachotoa huduma ya Awali,Tuition Msingi,Sekondari,QT na PC(FI-FVI).
15/10/2023
Welcome to our school
30/04/2023
Hi Friends
30/04/2023
Habari ndugu jamaa na marafiki,wakazi wa mbalizi na nje ya mbalizi.Tumewaletea kituo KIPYA AFRICA ACADEMIC CENTRE kinachopatikana Mbalizi jirani na Stendi ya Mabus mbalizi pia jirani na Hotel ya Tughimbe mbalizi.AFRICA ACADEMIC CENTRE ina waalimu wazuri waliobobea Katika ufundishaji wa masomo ya SAYANSI NA SANAA watakao wasaidia wanafunzi kufanya vizuri Katika masomo Yao yote.
Tunatoa huduma kwa wanafunzi wa awali na day care.
Tuition kwa wanafunzi wa primary (Msingi),Sekondari (kidato cha 1 mpaka Cha sita),wanaolist mitihani PC na QT pamoja na mfunzo ya Computer na Kiingereza.
Pia tuna huduma ya mitihani kwa madarasa yote msingi na sekondari.
Kwa huduma Bora na za kisasa AFRICA ACADEMIC CENTRE ndio jibu lako.Anza Leo unufaike na huduma zetu.Wote mnakaribishwa.
"Elimu ni Msingi wa Maisha"
Mawasiliano
0757140594/0621118836