Mapambano Academy

Mapambano  Academy

Share

Education is the key of life

15/09/2024

Head of Mapambano Academy

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ™πŸ™πŸ™

27/05/2024

Primary school✍️✍️

26/05/2024

Antonym words. Darasa la Tano, sita na Saba zifaham hiziπŸ‘‡πŸ‘‡ page yetu

15/05/2024

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

15/05/2024

Kuelekea msimu wa likizo. Tutatoa mashwal kwa watoto wa shule za msingi. Chukua maswali mpe mtoto afanye. Usisahau ku follow page yetu Ili upate Kila kitu.

13/09/2023

Tunawatakia mtihani mwema darasa la saba woteπŸ™πŸ™ Tanzania

Elimu Ni mwanga kufikia Maendeleo

09/09/2023

Nifuraha ya mwanafunzi kuelekea kuhitimu darasa la Saba. Hatimae kujiunga na kwajili ya pre form oneπŸ™πŸ™ 2023 hii kyela haijawahi kutokea. Timu nzima ya waalimu tumejipanga vyema πŸ™πŸ™πŸ™

Tupo mwaya Ndola kwenye kanisa la T.A.G (Mkuyuni)

29/08/2023

Pre form one 2023

Sasa tupo kyela kata ya mwaya (Ndola) kwenye kanisa la T.A.G

Tunaanza rasmi tarehe 18/09/2023

Masomo yatakayo fundishwa ni;
> Physics, Chemistry, Biology, B.mathematics, Geography, History na English.

>Lakin pia tutakua na program maalumu ya English course & Computer course ili kumjenga mtoto kulingana na karne ya Sasa.

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

15/07/2023

2023 tumejipanga kuwaandaa vyema zaidi wanafuzi wa Pre form one.

Tupo Dar es salaaam.

Nasasa tunaingia kyela (mbeya)

Elimu ni hadhina kubwa kwa mtoto.

16/12/2022

Hatimae leo Tarehe 16/12/2022 Tumefunga rasmi program ya Pre-form one 2022.

> Uongozi Unawatakia Kila rakheri wanafunzi wote kwenye Shule mnazo elekea mkawe wanafu Bora kimasomo na kimaadili pia✍🏿 Tunaamini mtaenda kufanya vizuri zaidi kikubwa mkaongeze jitihada ili muwe bora zaidi.

Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ inawategemeaπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ

NBπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ

Tunaendelea kupokea wanafunzi wa elimu ya kujitegemea

> QT
> Form 4 wanao rudia mtihani
> Pre form Five
> English Course
> Tution kwa Wanafunzi wa msingi na Sekondari.

Tupo MWANANYAMALA karibu Na Hospital (Dar Es Salaam)

Simu: 0762171912 au 0710171918 πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ

17/11/2022

Tukiwa maeneo ya kwa maandalizi ya kuwaleta Wanafunzi wa Pre form one 2022.

Tupo Mwananyamala Ghorofa ya Ukumbi mpya karibu na Hospital (Dar es Salaam)πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

0762171912

29/10/2022

Tumeanza rasmi kupokea wanafunzi kwa ajili ya mwaka 2023

> QT
>Wanao rudia mtihani wa kidato cha NNE
> Wasio jua kusoma na kuandika
> Eglish Course
> Pre form one (inaendelea)
> Tution (Msingi na sekondari)

Tupo Mwananyanala kwenye Ghorofa la ukumbi mpya karibu na soko la mapinduzi. (Dar es Salaam)

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa

Simu : 0762171912 au
0710171918
Nb: Elimu ni nuru ya mafanikio.

Want your school to be the top-listed School/college in Mbeya?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Mwaya-kyela
Mbeya