St.bosco Nursery School and Day Care

St.bosco Nursery School and Day Care ST.BOSCO NURSERY SCHOOL AND DAYCARE
,
St.Bosco ni kituo cha malezi ya mtoto wako ,Tunatumia mtaala wa English medium.

Tunaendelea kupokea watoto wa chekekechea kuanzia miaka 2,3 hadi 5 ,

02/09/2025
10/06/2022
HISTORIA YA BEN CARSO ,ni kati ya historia ambazo  zitaendelea kukumbukwa  Akiwa shule ya msingi darasani alikuwa katika...
26/04/2022

HISTORIA YA BEN CARSO ,ni kati ya historia ambazo zitaendelea kukumbukwa

Akiwa shule ya msingi darasani alikuwa katika kundi LA wanafunzi vilaza yaani wasijua kusoma., hii ilipelekea kutengwa na kuwa mfano kwa waalimu ..Mara kadhaa walimu walisikika wakisema "ONGEZA BIDII ,USIWE K**A BEN CARSO"

Ben CARSO aliishi na Mama ,asiyejua kusoma wala kuandika ,pamoja na madhaifu hayo lkn aliendelea kumsaidia na kumtia moyo . Mara kadhaa alikiwa akimwambia
"Ben wewe ni MTU mkubwa ,wewe ni mwanafunzi bora. hii ilipelekea kutoka kuwa mtoto wa mwisho na kushika nafasi ya kwanza. Leo dunia inamtambua Ben CARSO k**a daktari bingwa nchini marekani

inawezekana mtoto wako anadhraulika kwa kutokujua kusoma ,Inawezekana mtoto wako anazomewa kila siku darasani jambo LA kufanya endelea kumtia moyo badala ya kumchapa au kumkaripia .takwimu zinaonyesha wazazi wanowapongeza watoto wao hata k**a maendeleo yao si mazuri ,imesaidia kuongeza ufanisi ,ufaulu na maendeleo darasani .

JE wewe una tabia ya kumpongeza mtoto wako? haijalishi ni mburura kiasi gani endekea kumwambia maneno mazuri ..... john WEWE NI MWANAFUNZI BORA KITAIFA , mwambie maneno haya kila Siku asubuhi na jioni.

kuwa mzazi na mwalimu bora ,mtoto wako amezaliwa na kipawa cha kipekee usimkatishe tamaa ndoto yake ni kubwa endelea kuipalilia

ST.BOSCO EDUCATION ACADEMY
tunakukatibisha katika huduma zifuatazo

st.bosco Day care, kuanzia miaka 2-5
tuition- kuanzia chekechea hadi sekondari
tunapatika kata ya Mkomaindo -Masasi

MAWASILIANO:0673285305/0656941987
By teacher Bosco

ST.BOSCO NURSERY SCHOOL AND DAYCARE   ,St.Bosco ni kituo cha  malezi ya mtoto  wako ,Tunatumia mtaala wa English medium....
15/04/2022

ST.BOSCO NURSERY SCHOOL AND DAYCARE
,
St.Bosco ni kituo cha malezi ya mtoto wako ,Tunatumia mtaala wa English medium.

Tunaendelea kupokea watoto wa chekekechea kuanzia miaka 2,3 hadi 5 ,

Tunapatikana kata ya MKOMAINDO-MASASI

Kwa mawasiliano zaidi,0673285305

elimubora ,upendo ,ujasiri na ubunifu kwa mtoto ndio kauli mbiu yetu.

karibuni sana

Address

Mkomaondo
Masasi
MTWARA

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 18:00

Telephone

+255673285305

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when St.bosco Nursery School and Day Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to St.bosco Nursery School and Day Care:

Shortcuts

Share

Category