Mungu ni mwema

Mungu ni mwema Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mungu ni mwema, Education Website, Makabe.

 Call/WhatsApp  0654266195Je,unajua k**a mtaji wa   _unaweza_kukupa_maisha_ya_ndotozako        "Chukua  hatua"~soma mpak...
18/09/2016



Call/WhatsApp 0654266195

Je,unajua k**a mtaji wa _unaweza_kukupa_maisha_ya_ndotozako

"Chukua hatua"

~soma mpaka mwisho kwa utulivu na utafakari kwanza"



~ ni "Graduate" (certificate, diploma,degree,master, doc,PhD or professor unatafuta ajira au tayari upo kwenye ajira yeyote ila unatafuta namna ya kutoka Kimaishaaa?
~Je_WEWE ni mjasiliamali/mfanyabiashara mwenye ndoto kubwa sana ya kupanua biashara yako mikoa mbalimbali na pengine nje ya nchi na nje ya bara la Afrika kwa ujumla.?????

ni Mwanafunzi KATIKA professional yeyote na unafikiria kuwa MTu aliyefanikiwa kiuchumi baada ya miaka kadhaa ijayo???

ni mama wa nyumbani (Unalea familia )Lakini bado unafikiria kitu cha kufanya ili uweze kumiliki kipato kidogo kidogo na baadae kutoka kabisa kimaisha na unatafuta namna ya kujikwamua bila kuaiathiri familia?

BADO UNAYO NAFASI "Never give up"
~Badili mtazamo na chukua hatua

FUATILIA TAKWIMU HII DUNIANI.

~Kati ya mabilionea 1826 duniani hakuna aliyepata ubilionea wake kupitia AJIRA

BUT hivi ndivyo walivyo Pata utajiri wao:-



{MTAJI}_WAKAIENDELEZA

SASA JIULIZE WEWE MWENYEWE k**a leo hii MUNGU akikuongezea miaka ijayo 10 ya kuendelea kuishi baada ya hapo akakupumzisha [UKAFA] Familia yako ITAKUWA MIONGONI MWA MAKUNDI HAYO YA MABILIONEA au makundi gani?

" Chukua hatua usiwe king'ang'anizi ndugu yangu"

tajiri wa no 1 DUNIANI aliawahisema. ""ukizaliwa masikini sio kosa lako bali ukifa masikini hilo ni kosa lako"

poor_????????
IF Yes GOODBYE🖐🖐.

💪�💪�
KATIKA UWANJA WA UJASILIAMALI.

JAPO,Leo utakuwa unajiuliza ni ujasiliamali gani Leo ufanye ILI uweze kutoka na KUWA MIONGONI MWA MABILIONEA 1191 WALIOPATA KUPITIA UJASILIAMALI HUKU WAKIANZA NA SIFURI kwani kila kona ukipita Leo Wimbo ni UJASILIAMALI but sio kila ujasiliamali una uwezo wa wa kukufanya ufanikiwe la hasha HIYO SAHAU.

KARIBU K**A UNAHITAJI KUPATA MWONGOZO KWENYE MFUMO ULIOPENDEKEZWA Kwa kerne HII ya 21 na una uwezo wa kukutoa angalau NDANI ya miaka 2-5 na kukufanya uwe mtu wa tofauti.

Kwanza mawasiliano zaidi piga au tuma sms inbox kwa
WHATSAPP 0654266195

  sana nisije nikakufuru... Wala umaskini sana nisije nikakutenda dhambi.......
06/09/2016

sana nisije nikakufuru... Wala umaskini sana nisije nikakutenda dhambi.......

 #   makala_ MJUE MWIGIZAJI WA FILAMU YA YESU AMBAYE BAADHI YA WATU HUDHANI KWAMBA NI YESU, "MWENYEWE AMESHANGAZWA NA BA...
05/09/2016

# makala_ MJUE MWIGIZAJI WA FILAMU YA YESU AMBAYE BAADHI YA WATU HUDHANI KWAMBA NI YESU, "MWENYEWE AMESHANGAZWA NA BAADHI YA WAUMINI KUWEKA PICHA ZAKE KWENYE MAKANISA, MAJUMBA YAO NA KUVAA ROSARI ZENYE SANAMU YAKE WAKIAMINI YEYE NI YESU KITU AMBACHO SI KWELI

Ikiwa leo ni siku ya JUMAPILI tulivuu SADICKTV imeamua basi kuwaletea historia ya mtu ambaye ameigiza filamu ya Yesu inayofahamika kwa jina la ''JESUS'' ambayo iliigizwa mnamo mwaka 1979 huko nchini Israel,

SADICKTV imeamua kufanya hivi baada ya kuona ni kwa jinsi gani filamu hiyo imekuwa ikigusa maisha ya watu wengi kiasi kwamba baadhi ya watu wanasahau kwamba mtu aliyemo kwenye filamu hiyo ni mwigizaji tu na siyo YESU au ISSA BIN MARYAM k**a wanavyomuita Waislamu .

hata yeye amekiri kwamba wakati wa uigizaji alikuwa akisuluhisha mambo yaliyokuwa yakijitokeza yeye na waigizaji wenzake baada ya wao kusahau kwamba yeye si Yesu bali anaigiza tu. KARIBU.

BRIAN DEACON NDANI YA FILAMU YA ''JESUS''

Brian Deacon ndio jina lake mwigizaji huyo ambaye ni mwingereza aliyezaliwa mnamo tarehe 13/02/1949 huko Oxford nchini Uingereza akiwa ni mtoto wa pili katika familia yao baba yake akiwa fundi makenika na mama yake akiwa ni nesi ndoa yake ya kwanza na Rula Lenska ilivunjika ambapo alizaa na mkewe huyo binti yao aitwaye Lara Deacon,

ndoa yake ya pili alioana na mwanamama Natalie Bloch mnamo mwaka 1998 mpaka sasa wapo kwenye ndoa hiyo.

Aliigiza filamu ya Yesu baada ya kupita kwenye mchujo mkali wa waigizaji zaidi ya elfu moja ambao walifanyiwa mahojiano huku 260 wakijaribishwa kuigiza(screen test)kuona kwamba wanafaa akiwa ni mwingereza pekee kati ya waigizaji Waisrael walioingia kwenye usaili huo akiwa chini ya kampuni iitwayo New shakespears ambako alikuwa akifanya sanaa za majukwaani na uigizaji.

Deacon miaka iliyofuatia baada ya kuigiza k**a Yesu.

Amesema kabla ya kuchaguliwa mtihani wake wa kwanza ulikuwa kutoka kwa wakala wake aliyemvunja moyo kwakumweleza hadhani k**a yeye(Brian)atafaa kwenye kumwigiza Yesu,lakini anasema alifanikiwa,baada ya hapo akawa na wakati mgumu kutoka kwa watu ambao kila mmoja alikuwa anajaribu kumweleza jinsi anavyotakiwa kuigiza,sauti yake na mambo mengine,ingawa yeye alisema nitatumia sauti yangu na maelezo kutoka kwa muongozaji.

Amesema wiki tatu kabla hawajaanza kurekodi filamu hiyo alisoma kitabu cha Luka mtakatifu zaidi ya mara 20 kwakuwa filamu hiyo imenukuliwa kutoka kitabu hicho

Katika miezi saba waliyochukua kuigiza filamu hiyo Brian amesema,walikuwa wanaigiza kwa masaa mengi kuanzia saa kumi za alfajiri mpaka mwisho wa siku kiasi kwamba wakati mwingine aliwaambia wenzake kwamba wamsaidie kwani amechoka sana hajui kwamba angeweza kuigiza kwa siku hiyo

Baada ya filamu hiyo Briana anasema alirudi kuigiza majukwaani na kwenye runinga,

,filamu hiyo ambayo ilitengenezwa chini ya Campus Crusade for crusade ambao kwasasa wanaitwa Life Ministry pia nchini Tanzania wapo chini ya mkurugenzi Dismas Shekhalage.

ambapo tayari imetafsiriwa katika lugha zaidi 500 huku nyingine zaidi ya 200 zikiwa njiani kutafsiriwa.

BRIAN ANAWAAMBIA WATU WOTE DUNIANI KUWA YEYE SI YESU BALI YEYE NI MUIGIZAJI TU, WALA HAFANANI NA YESU KWANI ENZI ZA YESU HAPAKUWEPO NA TEKNOLOGIA YA CAMERA HIVYO HATA SURA HALISI YA YESU HAIJULIKANI ZAIDI YA WATU KUOTEA NA KUBUNI JINSI YESU ALIVYOFANANA K**A DIRECTOR WAKE ALIVYOBUNI KWA DEACON

BRIAN PIA AMESHANGAZWA NA BAADHI YA WAUMINI KUWEKA PICHA ZAKE KWENYE MAJUMBA YAO NA KUVAA ROSARI ZENYE PICHA YAKE WAKIAMINI YEYE NI YESU KITU AMBACHO NI MAKOSA

AMESEMA ILI KUTHIBITISHA KUWA YEYE NI MUIGIZAJI TU AMEZITAJA filamu alizowahi kushiriki ni pamoja na A zed & Two Noughts ya mwaka 1985, The Feathered Serpent ya mwaka 1976-1978 na Tamthilia iitwayo Lillie iliyoigizwa mwaka 1978 akitumia jina la Frank Miles.

Huyo ndiye Brian Deacon mwigizaji mkuu wa filamu ya ''JESUS''iliyoigizwa mwaka 1979 huko nchini Israel. (sadickTV © NIMEIANDAA KWA MSAADA WA MTANDAO , DEACON PROJECT , TRUTH MUST BE FOUND )

_______________________________________________
________________________________________________
Cc/ Lupakisyo Kapange Omari R Nundu M***a M***a Bakari Mbarouk Salim Kassim Kisauji Dessa Makoko Ratco Tanga Simba Mtoto Transport Nurudini Ahmed Stambuli Saed Kubenea Abu-Khalfan Assarawi Mvungipure Abuuwasnaa Abuu Khabaab Abuu Maryam Henry Kilewo Michael Chris Mgwattu Kahatwani Salim

Mungu akukumbuke katika kazi zako, aweke mkono wa baraka, ufanikiwe maishani mwako. Sema
05/09/2016

Mungu akukumbuke katika kazi zako, aweke mkono wa baraka, ufanikiwe maishani mwako.
Sema

Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.  Jitieni nira yangu, mjifunze kwan...
05/09/2016

Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi. mathayo 11:28-30

MUNGU akubariki sana

k**a unaamini k**a yesu anaweza chukua mizigo yako ya dhambi zako ulizozitenda sema Amen

KISHA SHARE TAFADHALI

Address

Makabe

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mungu ni mwema posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share