30/01/2026
CHUO CHA UFUNDI MOAVIAN KYELA.
Kilichosajiliwa na NACTVET Kwa usajili no. NACTVET/0702 Na kupewa ithibati ya kutoa mafunzo kwanzia daraja la kwanza -daraja la tatu (level 1 -level 3
Tunawatangazia nafasi za masomo ya ufundi katika fani zifuatazo
1. Ufundi umeme
2. Ufundi magari
3. Useremala
4. Ushonaji
5. ICT
6. Saloon (ususi na urembo)
7. Computer application
Chuo kina mazingira mazuri ya kujifunzia, pia chuo kina hostel kwa wanawake na wanaume. Ada ni nafuu sana hulipwa kwa awamu hadi nne.
Baada ya kumaliza chuo kila mwanafunzi anapewa vifaa vya kufanyia kazi kulingana na fani anayosomea.
Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupitia simu no
0753425315
0775744637
0621448990