12/01/2024
Tunaendelea na usajili wa wanafuzi wa elimu ya awali na shule ya msingi mwaka huu 2024 ( nursery classes).
Kwanini tunaomba utuletee mwanao?
1. Tunatoa malezi na elimu bora kwa mtoto wako.
2. Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu.
3. Tuna mazingira mazuri kwa michezo na kujifunzia mtoto.
4. Chakula bora na usafiri unapatikana shuleni kwetu
TUPO: KINYEREZI - KIFURU MWANZO MGUMU kwa Asha Madenge
Au tupigie kwa namba zetu zifuatazo
0759712779
0715654859
Asanteni na karibuni sana.