23/02/2026
Leo tumefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Serikali na 🇹🇿.
Katika kikao na Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Hamis Mwinjuma (MwanaFA) tumeweka misingi ya programu kubwa mbili zitakazobadilisha uchumi wa msanii mmoja mmoja na kuijenga upya sekta ya sanaa kwa mtazamo wa kifedha na uwekezaji.
Kikao hicho pia kilihudhuliwa na CEO wa Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Bi Nyakaho Mahemba!
Tumesimama kuhakikisha kiwanda cha Sanaa & Ubunifu kinaunganishwa moja kwa moja na sekta ya Fedha—kuanzia elimu ya fedha, upatikanaji wa mitaji, hadi uendelevu wa mapato ya wasanii.
Hii si mazungumzo ya kawaida.
Ni mabadiliko ya mfumo.
Ni hatua ya kizazi.
FinancialInclusion
UtukufuUmrudieMunguMkuu ✍️
04/02/2026
23/01/2026