05/06/2018
Ni tamthilia inayohusu maisha ya kweli ya Mapenzi na huzuni sana ya King Jungjong (Yeon Woo-jin) and his wife Queen Dangyeong (Park Min-young)....Queen Dangyeong alikuwa queen kwa siku saba tu na kutolewa huku king jungjong akiwa anampenda sana.
Ina episode 20 na inapatikana hapa bure kabisa.
04/06/2018
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mwigizaji maarufu mwanamke wa Hollywood Angelina Jolie,alizaliwa mwaka 1975. aliaanza kuigiza mwaka 1982 akiwa na miaka 7 alipoingiza movie ya looking to get out.
Angelina Jolie ameigiza movies nyingi na kali na hizi ndio movie zake 7 kali zaidi
&Mrs Smith
in sixty second
lives
Mtakie siku njema ya kuzaliwa mwigizaji huyu hodari ambaye pia ni balozi wa UN wa watoto.
HAPPY BIRTHDAY ANGELINA JOLIE
03/06/2018
Kwaheri Maria na Consolata...siku zote mlikuwa na tabasamu usoni.. Mmeondoka mapema sana ila yote ni mipango ya MUNGU.
REST IN PEACE MARIA NA CONSOLATA.
31/05/2018
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa legendary actor na director wa Hollywood na dunia kote Clint Eastwood anatimiza miaka 88.
Clint Eastwood alianza kuigiza movies mwaka 1954 na mbaka leo anagiza na kutengeneza movies huku movie zake zikiwa zimeshinda tunzo tano za Oscars na tunzo zaidi ya 30 nyingine na kuingiza zaidi trioni 4.1.
HAPPY BIRTHDAY CLINT EASTWOOD
Movie 5 kali zaidi za Clint Eastwood lazima uzione ni
1.Million dollars baby (2004)
Mfundishiji ngumi aliyezeeka anajaribu kumfundisha ngumi msichana anayetoka kwenye familia duni
2.sniper (2014)
Story ya kweli ya maisha ya mdunguaji hatari zaidi kupata kutokea marekani Chris Kyle ambaye alikuwa namba moja katika list ya watu wanaotafutwa na magaidi nchini Iraq na afaghastan
3.Unforgiven (1992)
Story ya jambazi anayeenda kufanya kazi yake ya mwisho k**a jambazi inayomfanya aishi k**a mkulima
4.When Eagles dare (1967)
Hapa Eastwood aligiza k**a mkuu wa Kikosi maalumu ya ukoaji kilichotumwa kumokoa General mmoja aliyetekwa na wajerumani kwenye kambi iliyo juu ya mlima.
5. The outlaw josey Wales (1976)
Story inayohusu Wales ambaye anatafuta kulipiza kisasi zidi ya kundi la jeshi lilomuua mkewe na mwanaye wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe marekani
Mtakie mkongwe huyu siku njema ya kuzaliwa.
29/05/2018
BLACK WATER.
Van damme amerudi tena.
25/05/2018
Song Il-gook
Ni mwigizaji maarufu wa tamthilia za kikorea anajulikana sana kwa tamthilia kali ya jumong aliyoigiza k**a jumong.
Tamthilia nyingine kali alizowahi kuigiza ni
man called GOD
of the sea
of the wind
Yeong-sil
24/05/2018
Tarehe k**a ya Leo miaka 41 iliyopita movie ya kwanza ya star wars ulitoka. Star wars episode V :new hope ulitoka tarehe 24/05/1977 na kufanya vizuri sana na Kuwa movies iliyouza sana kuliko kwa kuingiza dollars millions 775(zaidi ya trioni 1.5 za Tanzania ) kwa kipindi hicho.
Ikipigwa mfumuko wa bei star wars inakuwa movie ya pili iliyoingiza pesa nyingi kuliko zote ikiwa nyuma ya avatar.
#
23/05/2018
MY SUSPICIOUS PARTNER
Bong-Hee ni wanafunzi wa sheria katikati chuo cha mafunzo na utafiti wa sheria siku Moja Bong-Hee anakuta na Ji-Wook na kumuhisi ni mbakaji lakini anakata lakini amwamini siku hiyoBong-Hee anaporudi chumbani kwake anakuta boyfriend wake Hee-Joon akiwa na mwanamke mwengine kitandani anaumia sana na kuanza kulia huku akiondoka kwa hasira za kutendwa anajipiza atalala na mwanaume yeyote atakayekutana naye atalala naye… wakati anapita chini ya korido la jengo lile anapamiana na mwanaume na hapo hapo anamwimbia k**a anaweza kulala naye jamaa anakubali anamshika mkono na kuanza Kuondoka naye wakiwa mlangoni anamwangalia vizuri usoni anagunduwa ni Ji-Wook aliyemuhisi ni mbakaji wanaamuwa kwenda bar kulewa pamoja alipoamka asubuhi anajikuta akiwa katika kitanda cha
• Miezi mitatu badaye Bong-Hee anakutana na Mpenzi wake wa zamani na kumwambia aje aende kuchukuwa vilago vyakee wanaongozana wote mbaka chumbani kwake wakati anakusanya nguo anaondoka na kumwacha akusanye vilago vyake anaporudi anamkuta amefariki akiwa na jeraha polisi wanapokuja wanamk**ata Bong-Hee na kumfungulia kesi ya mauaji na mwendesha mash*taka ni ambaye amekaliwa shingoni na baba yake ambaye ndio bosi wake katika kesi hiyo Bong-Hee anashinda baada ya Kupata ushahidi unoonyesha hakufanya tukio hilo…. Anaacha kazi na kuhama mji baada ya baba yakeHee-Joon ambaye ni mwendesha mash*taka mkuu kutolidhishwa na hukumu hiyo huku akianza kazi ya kumtafuta mauaji wa Mpenzi wake wa zamani.
• Miaka mitatu badaye Bong-Hee na Ji-Wook wanakutana tena mahak**ani mara hii wakiwa upande tofauti huku akimtetea mtu. Bong-Hee akiwa mwendesha mash*taka na ji -wook akiwa anamtetea mtuhumiwa…. Na anamuomba Ji-Wook amsadie kumtafuta muuaji wa boyfriend wake wa zamani… hapo ndio mambo matata na matamu… wanashindana mahak**ani wanashindana jioni….
22/05/2018
Meghan markel au k**a anavyojulikana sasa Princess meghan baada ya kufungua ndoa na Mjukuu wa malkia wa wingereza Prince Harry
..ni mwigizaji wa movies na tamthilia na ameigiza kwenye movies na tamthilia na ameigiza kwenye tamthilia ya
SUIT (season 1-7)
Movies alizoigiza ni
1.Get him to the geek
2.Remember me
3.Horrible boss
Walikutana na prince Harry kupitia blind date iliyofanywa na rafiki yake prince Harry aliyekuwa anamjua meghan
21/05/2018
Leo ni kumbukumbu ya miaka 22 ya kuzama kwa meli ya Mv bukoba iliyozama siku k**a ya Leo mwaka 1996 na kuua watu 894.
REST IN PEACE WOTE WALIOFARIKI SIKU HIYO
20/05/2018
K**a wewe ni mpenzi wa series anaitwa nani huyu?