Hellow
Ndoa na iheshimiwe
Ndoa na iheshimiwe page inayo jadiri maswala muhim yanayo husu ndoa
nia nikufanya ndoa iheshimiwe na watu wote kuanzia wana ndoa mpaka wanao izunguk ndoa
17/04/2023
*NDOA NA IGESHIMUWE*
❤️NDOA NA IHESHIMIWE❤️ WhatsApp Group Invite
28/04/2022
Ogopa sana mwanamke anaye jihesabia haki katika kila jambo hafai kuwa mchumba wala mke kiufupi hafai mpaka atakapo jifunza kuacha kujihesabia hakiKiufupi mariam pamoja na kuwa bint msafi bikra na mwenye hofu ya Mungu hakujihesabia haki hata mbele ya malaika wa Mungu alijiona mnyonge asiye kuwa na hadh ya kubeba kitu chochote chema toka kwa Mungu
Lakin siku hizi binti hana bikra, hana aibu wanaume wamemuonja onja k**a mapalachichi ya buguluni lakin anajihesabia haki utazan yeye ni sara mke wa ibrahim au ni bikra mariam
13/04/2022
Moyo wa mwanamke mnyenyekevu ni dawa kwa familia
NDOA NA IHESHIMIWE
Kalibu ujiunge group letu la wanandoa walio okoka
Group hiri ni kwaajiri ya kuwajenga wanandoa katika maadiri ya kindoa,malezi ya familiya na maisha ya kikristo ndani ya ndoa
Group ni kwaajiri ya wanandoa tu kwa wale ambao hawaja oa au kuolewa inashauriwa wasijiunge kabisa
Kujiunga jiunge kupitia link hii tafadhar
❤️NDOA NA IHESHIMIWE❤️2️⃣ WhatsApp Group Invite
Shalom naomba ficha jina langu
Ni MAFUTA GANI WANATUMIA WANANDOA KWA AJILI YA KUZUIA MCHUBUKO WAKATI WA TENDO
06/04/2022
Kusema kwel biblia inasema ndoa na iheshimiwe n Watu wote.unapo ongea utan kuhusu ndoa yangu au mke wangu na nikaonekana sifurahi naomba usiuendeleze utani huo badara yake ntafanya maamuzi magum k**a ya will smith
*NDOA NA IHESHIMIWE*
KALIBU UJIUNHE GROUP LA WANANDOA WALIO OKOKA NA KUZALIWA MARA YA PILI
Group la wana ndoa walio okoka ni special.kujifunza mambo ya ndoa,malezi ya kikristo na maswala ya huduma kwa wanandoa
Group hiri ni special kwa wanandoa kwa ambao bado kuingia kwenye ndoa hapa sio mahari pake
https://chat.whatsapp.com/F74rmsifPxW4K2gPZt0FTT
*HATARI ZINAZO WAKUMBA WATOTO KATIKA NYAKATI HIZI ZA SASA*
TWAPASWA KUTAMBUA KWAMBA SISI K**A KANISA TUMEINGIA KATIKA KIPINDI KIGUMU SANA AMBACHO SHETAN AMEKUA AKIVAMIA WATOTO KATIKA STAIR YA KIPEKEE SANA NA MBAYA ZAID KULIKO MWANZO
NA KANISA LIMEPOTEZA WAJIBU WAKE KWA KUKAA KIMYA NA KUONA K**A MAJUKUM HAYA YA KUWASAIDIA WATOTO SIO YAKE
WATOTO WAMESAHAULIKA NDANI YA KANISA NA INAONEKANA K**A SIO JUKUM LETU K**A KANISA KUHAKIKISHA KWAMBA WATOTO WANAKUWA SALAMA
SHETANI AMEKUA AKITUMIA SIRAHA ZIFUATAZO KUVAMIA WATOTO
1. VIFAA VYA UMEME
2. FILAMU NA NYIMBO
3. MICHEZO
4. MMOMONYOKO WA MAADIRI
UNAZAN NI KWA NAMNA GANI MAMBO HAYO MAKUU MANNE SHETANI ANAYATUMIA KUHARIBU WATOTO WETU?
04/03/2022
Jiunge kwenye Group letu la wanandoa wakristo na walio zaliwa mara ya pili
Jiunge kwa linki hiikumbuka ni kwa wanandoa tu
❤NDOA NA IHESHIMIWE❤️ WhatsApp Group Invite
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Address
Kinondoni